Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme

Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme

eti milango ilifunguliwa ili watu wapumue 😀 😀...kuna boya mmoja anasikika akisema umeme ukikatika abiria hatojua...mara oooh umeme ukikatika treni inatunza umeme wake inaweza tembea kilomita 100 (mia moja) bila umeme wa nje.Hivi huyu boya si achukue ustaarabu ajiudhuru atoke kwenye ofisi ya umma,??...yaani utudanganye uongo wa muda mfupi Mungu akuanike mapema hivi bado ung'ang'anie kukaa ofisi za umma. Wanatutia aibu hawa jamanii!!!...wameharibu ratiba za watu...na nibora ...waruhusu watu kubeba vyakula waingie navyo ndani, na shangazi kaja ziruhusiwe watu waingie nazo....wasitupangie maujinga yao🙁🙁
Kwanza walipe compensation kwa abiria kwa ule usumbufu!
 
Umejitahidi kutetea ila haisaidii! Kwa wenzetu ni tofauti kabisa!

Na kwa nini walidanganya kuwa umeme ukilete hitilafu, diesel itakuwa standby na abiria hawatagundua kama kuna tatizo!

Shukrani zetu ziende kwa bundi na ngedere kwa kufichua hujuma hizi!
Mkuu ishu ya ngedere sio kweli wala Bundi ilitakiwa waseme ukweli tu ili wawe huru hizi mambo zinatokea kama huko kwa wenzetu ni mkaaji utakua ila ukiwa mpitaji hautakuja kujua kinachoendelea kwao...
 
Ila nchi nyingine bhana eh! The comedy show imeanza tena. Sasa,aliebuni mfumo huo,kwake hakuna nyani na bundi. Aliyeupokea,kwake wapo. Ina maana hadi watu wanaitwa Engineers,hawana upeo wa kufikilia mambo madogo kama hayo? Na hapo ukute wamekula mabilioni ya hela tu.
 
Mkuu ishu ya ngedere sio kweli wala Bundi ilitakiwa waseme ukweli tu ili wawe huru hizi mambo zinatokea kama huko kwa wenzetu ni mkaaji utakua ila ukiwa mpitaji hautakuja kujua kinachoendelea kwao...
Nimekaa na bado natembelea! Siyo kwamba hakunaga hitilafu, ila tofauti sana na hapa! Huwezi linganisha na kwa mfano, masaa yote yale wakisubiri umeme utengamae! Hakuna kitu cha namna hiyo!

Labda hujuma kama za juzi Ufaransa kwenye Olyimpcs, ambao nao waliweza kurudisha fasta. Kama ingetokea kwetu, tungekuwa tunaongea wiki, labda mwezi!
 
Wajitahidi kuondoa changamoto kama hizi ili waboreshe usafiri huu wa treni (SGR) bado mapema sanaaa.
 
Nimekaa na bado natembelea! Siyo kwamba hakunaga hitilafu, ila tofauti sana na hapa! Huwezi linganisha na kwa mfano, masaa yote yale wakisubiri umeme utengamae! Hakuna kitu cha namna hiyo!

Labda hujuma kama za juzi Ufaransa kwenye Olyimpcs, ambao nao waliweza kurudisha fasta. Kama ingetokea kwetu, tungekuwa tunaongea wiki, labda mwezi!
Shida ndio hiyo mnataka kufananisha Tanzania Nchi ya kupewa misaada na wataoa msaada nachosema na nachozungumza matatizo ya umeme yapo Dunia nzima ila hapa ndio kwanza tunatambaa kwa hizi changamoto tutakutana nazo tu hata wao pia walipokua wanatambaa kama sisi walikutana na changamoto kama hizi wenzetu kutumia hizi treni wana zaidi ya miaka 50 mnataka kufananisha na sisi bus tu ni changamoto...
 
For a country that still regards the electricity as a luxury introducing electric train is to lack the sense of reasoning.
 
Back
Top Bottom