Morogoro tunakwama wapikujenga barabara ya mzunguko?

Morogoro tunakwama wapikujenga barabara ya mzunguko?

ofisa

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2011
Posts
4,340
Reaction score
4,069
Nimehamia Morogoro huu mwaka wa saba,ambacho sikielewi ni manispaa kushindwa kujenga njia ya mzunguko itakayo unganisha Kihonda,Tungi, Kingolwira, Msongeni, Bigwa. Sanga sanga, Mazimbu, Kihonda.

Faida;

1.Njia hii itapunguza foleni ya gari zote kuingia msamvu.

2.Itafungua kata ya Tungi,Yespa,na Kingolwira.

3.Pakitokea dharura njia mbadala itakuepo.

4.Kingolwira wameshaweka njia pana ya Mita 40 ambayo haitohitaji fidia na njia imenyooka vizuri sababu ni wakazi wanajitambua walitenga njia pana.

5.Na pakijengwa na machinjio kwenye bonde la galaxy yatarahisisha utolewaji wa taka taka za machinjioni na hapana msongamano wa watu karibu.

6.Pata mrahisishia muwekezaji wa kuku kusafirisha nyama zake kwenda nje ya nchi kirahisi.

7.Mjerumani mkulima wa mboga mboga nae(Kimamba farm) atatumia fursa hii ya kufungua kipera na kingolwira.

Kwenda kambi ya pangawe kwa wanajeshi patarahisishwa .

Kuliko hii ya Nane nane gronence kutokea oilcom nane nane yaani ni kufurahisha wawekezaji wa guest tu sijapenda.

Nawaomba manispaa wawe wanafuatilia pembezoni na changamoto za wananchi.
 
Nimehamia Morogoro huu mwaka wa saba,ambacho sikielewi ni manispaa kushindwa kujenga njia ya mzunguko itakayo unganisha Kihonda Tungi,Kingolwira,Msongeni,Bigwa.Sanga sanga,Mazimbu,Kihonda.
Faida,
1.Njia hii itapunguza foleni ya gari zote kuingia msamvu.
2.Itafungua kata ya Tungi,Yespa,na Kingolwira.
3.Pakitokea dharura njia mbadala itakuepo.
4.Kingolwira wameshaweka njia pana ya Mita 40 ambayo haitohitaji fidia na njia imenyooka vizuri sababu ni wakazi wanajitambua walitenga njia pana.
5.Na pakijengwa na machinjio kwenye bonde la galaxy yatarahisisha utolewaji wa taka taka za machinjioni na hapana msongamano wa watu karibu.
6.Pata mrahisishia muwekezaji wa kuku kusafirisha nyama zake kwenda nje ya nchi kirahisi.
7.Mjerumani mkulima wa mboga mboga nae(Kimamba farm) atatumia fursa hii ya kufungua kipera na kingolwira.
Kwenda kambi ya pangawe kwa wanajeshi patarahisishwa .

Kuliko hii ya Nane nane gronence kutokea oilcom nane nane yaani ni kufurahisha wawekezaji wa guest tu sijapenda.
Nawaomba manispaa wawe wanafuatilia pembezoni na changamoto za wananchi.
Moja mji ambao Wakazi wake hawana maono ni huo wew unazumzia barabara nenda Mkundi, kwa Makunganya, Tungi na maeneo maji yalivyo shida.
 
Moja mji ambao Wakazi wake hawana maono ni huo wew unazumzia barabara nenda Mkundi, kwa Makunganya, Tungi na maeneo maji yalivyo shida.
Baadabya mataa ya mazimbu imejengwa lami kwenda kushoto inatokea chini karibu na chuo.ile lami unakaa dakika 15 ndio pikipiki au gari inapota muda wa mchana,ukiuliza unajibiwa wanasiasa wanapenda akitoka nje ya nyumba yake aone lami.yaani lami inafuata mtu na sio mahitaji ya wakazi.
 
Nimehamia Morogoro huu mwaka wa saba,ambacho sikielewi ni manispaa kushindwa kujenga njia ya mzunguko itakayo unganisha Kihonda,Tungi, Kingolwira, Msongeni, Bigwa. Sanga sanga, Mazimbu, Kihonda.

Faida;

1.Njia hii itapunguza foleni ya gari zote kuingia msamvu.

2.Itafungua kata ya Tungi,Yespa,na Kingolwira.

3.Pakitokea dharura njia mbadala itakuepo.

4.Kingolwira wameshaweka njia pana ya Mita 40 ambayo haitohitaji fidia na njia imenyooka vizuri sababu ni wakazi wanajitambua walitenga njia pana.

5.Na pakijengwa na machinjio kwenye bonde la galaxy yatarahisisha utolewaji wa taka taka za machinjioni na hapana msongamano wa watu karibu.

6.Pata mrahisishia muwekezaji wa kuku kusafirisha nyama zake kwenda nje ya nchi kirahisi.

7.Mjerumani mkulima wa mboga mboga nae(Kimamba farm) atatumia fursa hii ya kufungua kipera na kingolwira.

Kwenda kambi ya pangawe kwa wanajeshi patarahisishwa .

Kuliko hii ya Nane nane gronence kutokea oilcom nane nane yaani ni kufurahisha wawekezaji wa guest tu sijapenda.

Nawaomba manispaa wawe wanafuatilia pembezoni na changamoto za wananchi.
Barabara ya zamani ilikuwa inapiya katikati ya mji soko kuu, ikahamishwa kupitia Msamvu kulikuwa nje ya mji, hivi sasa nako ni mjini, labda ipite nyuma ya Tubuyu.
 
Nimehamia Morogoro huu mwaka wa saba,ambacho sikielewi ni manispaa kushindwa kujenga njia ya mzunguko itakayo unganisha Kihonda,Tungi, Kingolwira, Msongeni, Bigwa. Sanga sanga, Mazimbu, Kihonda.

Faida;

1.Njia hii itapunguza foleni ya gari zote kuingia msamvu.

2.Itafungua kata ya Tungi,Yespa,na Kingolwira.

3.Pakitokea dharura njia mbadala itakuepo.

4.Kingolwira wameshaweka njia pana ya Mita 40 ambayo haitohitaji fidia na njia imenyooka vizuri sababu ni wakazi wanajitambua walitenga njia pana.

5.Na pakijengwa na machinjio kwenye bonde la galaxy yatarahisisha utolewaji wa taka taka za machinjioni na hapana msongamano wa watu karibu.

6.Pata mrahisishia muwekezaji wa kuku kusafirisha nyama zake kwenda nje ya nchi kirahisi.

7.Mjerumani mkulima wa mboga mboga nae(Kimamba farm) atatumia fursa hii ya kufungua kipera na kingolwira.

Kwenda kambi ya pangawe kwa wanajeshi patarahisishwa .

Kuliko hii ya Nane nane gronence kutokea oilcom nane nane yaani ni kufurahisha wawekezaji wa guest tu sijapenda.

Nawaomba manispaa wawe wanafuatilia pembezoni na changamoto za wananchi.
Nimebahatika kutembea na kuwahi kuishi katika miji kadhaa kwa Tz, kwenye miji yote kabisa niliyowahi kuzuru au kuishi, nimebaini Kuna tatizo Kuu moja linalofanana sehemu zote kabisa, tatizo hilo ni UKOSEFU WA MIPANGO-MIJI ILIYO BORA. Hili ni tatizo kubwa Sana kwa Tanzania, miji yote kabisa ipo hovyo na vururu-vururu, hakuna mpangilio mzuri wa miundombinu ya Makazi Wala miundombinu ya barabara, kila kitu kipo shaghalabaghala. Miji yote ipo hovyo hovyo na michafu Sana Kama mazizi ya ng'ombe, hakuna ustaarabu hata chembe.

Kwenye mji wa Morogoro:
Katika mji huo kulipaswa kuwepo na Barabara za Mzunguko (Ring roads) kuuzunguka huo mji.
1. Barabara hiyo ilipaswa ianzie eneo la Kingolwira, kupitia kwenye maeneo ya Tubuyu/Tungi, Kijiji Cha Ngerengere(Kata ya Kihonda), eneo lililooangwa kuwa la EPZA, Kiegeya "A", Kiegeya "B", Mtaa wa CCT Forest (Kata ya Mkundi), Eneo la Hifadhi la Msitu Mkundi (lililopo Wilaya ya Mvomero), Kwa Makunganya, Kijiji Cha Majichumvi (Kiwanda Cha Nyama), kuzunguka nyuma ya Mlima wa Mguluwandege-Mkundi, kutokea eneo la Lukobe, hapa kuwe na Junctions(pacha), moja ya kwenda Lukobe Kijijini/SUA Mazimbu Road, na pacha nyingine iwe ya kwenda katika Kijiji cha Lugala & Kasanga Kata ya Mindu kupitia nyuma ya Mlima wa Lukobe. Katika Kijiji Cha Lugala pia kuwe na Junction nyingine ya kwenda eneo la Kati (center);ya Kijiji Cha Lugala & Sua (Mazimbu Ndani au Dark City) na pacha nyingine ya Barabara ipite nyuma ya Mlima wa Kijiji hicho Cha Lugala/Kasanga hadi kutokea eneo la Sangasanga njia panda ya Kwenda Mzumbe along Morogoro to Iringa Main Road.
2. Barabara nyingine ianzie Kingolwira iende uelekeo wa Pangawe na Bigwa hadi kutokea na kukutana na Barbara Kuu ya Morogoro- Mvuha-Matombo- Kisaki.

3. Aidha, Uwanja wa Ndege uliopo katika eneo la Kihonda Maghorofani nao uhamishwe na ujengwe Uwanja Mpya wa Ndege katika eneo la Hifadhi ya Msitu Mkundi (lililopo Wilayani Mvomero), msitu huo kwa Sasa hauna faida Wala tija yoyote ile, matumizi ya Ardhi ya eneo hilo yabadilishwe na eneo Hilo Sasa litumike katika shughuli zingine za kibinadamu ikiwemo na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege ulio mkubwa (ikiwezekana uwe Uwanja wa Ndege wa Kimataifa), Hotels, Shopping Malls, Business Centers, n.k, n.k. ili kukuza uchumi wa Mji wa Morogoro.

4. Gereza ya Kihonda nalo pia linatakiwa kuhamishwa haraka sana kutoka kwenye eneo hilo la Veta Kihonda, lihamishiwe katika Wilaya ya Mvomero, liwekwe mbali kidogo na Makazi ya Watu. Mathalani, lipelekwe huko katika maeneo ya Dakawa Ranch ambako Kuna Ardhi kubwa Sana na ya kutosha.
Eneo hilo la Gereza la hapo Kihonda litwaliwe na Serikali na litumike kwa shughuli zingine Kama vile kuweka Shopping Malls, Hotels, Tourists Center, Kumbi za Mikutano/Starehe, na shughuli zingine mbali mbali za kiuchumi ukizingatia kwamba eneo hilo Sasa hivi nasikia kwamba Kuna Stesheni ya Treni ya Mwendokasi.
Kwa kifupi ni kwamba eneo Hilo sasa ligeuzwe kuwa Kituo Kikuu Cha Biashara katika Mji wa Morogoro (i.e, Morogoro Business Center)
 
Nimebahatika kutembea na kuwahi kuishi katika miji kadhaa kwa Tz, kwenye miji yote kabisa niliyowahi kuzuru au kuishi, nimebaini Kuna tatizo Kuu moja linalofanana sehemu zote kabisa, tatizo hilo ni UKOSEFU WA MIPANGO-MIJI ILIYO BORA. Hili ni tatizo kubwa Sana kwa Tanzania, miji yote kabisa ipo hovyo na vururu-vururu, hakuna mpangilio mzuri wa miundombinu ya Makazi Wala miundombinu ya barabara, kila kitu kipo shaghalabaghala. Miji yote ipo hovyo hovyo na michafu Sana Kama mazizi ya ng'ombe, hakuna ustaarabu hata chembe.

Kwenye mji wa Morogoro:
Katika mji huo kulipaswa kuwepo na Barabara za Mzunguko (Ring roads) kuuzunguka huo mji.
1. Barabara hiyo ilipaswa ianzie eneo la Kingolwira, kupitia kwenye maeneo ya Tubuyu/Tungi, Kijiji Cha Ngerengere(Kata ya Kihonda), eneo lililooangwa kuwa la EPZA, Kiegeya "A", Kiegeya "B", Mtaa wa CCT Forest (Kata ya Mkundi), Eneo la Hifadhi la Msitu Mkundi (lililopo Wilaya ya Mvomero), Kwa Makunganya, Kijiji Cha Majichumvi (Kiwanda Cha Nyama), kuzunguka nyuma ya Mlima wa Mguluwandege-Mkundi, kutokea eneo la Lukobe, hapa kuwe na Junctions(pacha), moja ya kwenda Lukobe Kijijini/SUA Mazimbu Road, na pacha nyingine iwe ya kwenda katika Kijiji cha Lugala & Kasanga Kata ya Mindu kupitia nyuma ya Mlima wa Lukobe. Katika Kijiji Cha Lugala pia kuwe na Junction nyingine ya kwenda eneo la Kati (center);ya Kijiji Cha Lugala & Sua (Mazimbu Ndani au Dark City) na pacha nyingine ya Barabara ipite nyuma ya Mlima wa Kijiji hicho Cha Lugala/Kasanga hadi kutokea eneo la Sangasanga njia panda ya Kwenda Mzumbe along Morogoro to Iringa Main Road.
2. Barabara nyingine ianzie Kingolwira iende uelekeo wa Pangawe na Bigwa hadi kutokea na kukutana na Barbara Kuu ya Morogoro- Mvuha-Matombo- Kisaki.

3. Aidha, Uwanja wa Ndege uliopo katika eneo la Kihonda Maghorofani nao uhamishwe na ujengwe Uwanja Mpya wa Ndege katika eneo la Hifadhi ya Msitu Mkundi (lililopo Wilayani Mvomero), msitu huo kwa Sasa hauna faida Wala tija yoyote ile, matumizi ya Ardhi ya eneo hilo yabadilishwe na eneo Hilo Sasa litumike katika shughuli zingine za kibinadamu ikiwemo na Ujenzi wa Uwanja wa Ndege ulio mkubwa (ikiwezekana uwe Uwanja wa Ndege wa Kimataifa), Hotels, Shopping Malls, Business Centers, n.k, n.k. ili kukuza uchumi wa Mji wa Morogoro.

4. Gereza ya Kihonda nalo pia linatakiwa kuhamishwa haraka sana kutoka kwenye eneo hilo la Veta Kihonda, lihamishiwe katika Wilaya ya Mvomero, liwekwe mbali kidogo na Makazi ya Watu. Mathalani, lipelekwe huko katika maeneo ya Dakawa Ranch ambako Kuna Ardhi kubwa Sana na ya kutosha.
Eneo hilo la Gereza la hapo Kihonda litwaliwe na Serikali na litumike kwa shughuli zingine Kama vile kuweka Shopping Malls, Hotels, Tourists Center, Kumbi za Mikutano/Starehe, na shughuli zingine mbali mbali za kiuchumi ukizingatia kwamba eneo hilo Sasa hivi nasikia kwamba Kuna Stesheni ya Treni ya Mwendokasi.
Kwa kifupi ni kwamba eneo Hilo sasa ligeuzwe kuwa Kituo Kikuu Cha Biashara katika Mji wa Morogoro (i.e, Morogoro Business Center)
We Morogoro unaijua.
Tatizo manispaa zetu wengi watendaji ni wakuja,wanasiasa wengi ni walio wageni na mkoa.
 
Back
Top Bottom