Morogoro: Watu 5 wapoteza maisha, wengine 24 wajeruhiwa katika ajali ya gari

Morogoro: Watu 5 wapoteza maisha, wengine 24 wajeruhiwa katika ajali ya gari

Ajali imehusisha magari matatu, Coaster, lorry, na gari dogo cresta, dereva wa Coaster inasemekana ndio amesababisha hiyo ajali kwa kujaribu kuyapita magari yaliyokuwa mbele yake bila kuchukua tahadhari, Coaster ilikuwa inasafirisha mwili wa marehemu toka Dar kwenda Mbeya kwa mazishi.
Doh!!

Hii sasa, ndio leo naisikia masikioni mwangu, Yaani, Marehemu anakutana na ajali nyingine tena??

Inaumiza sana, Inafikirisha sana kwa ndugu jamaa na marafiki wote walioondokewa na ndugu yao
 
Doh!!

Hii sasa, ndio leo naisikia masikioni mwangu, Yaani, Marehemu anakutana na ajali nyingine tena??

Inaumiza sana, Inafikirisha sana kwa ndugu jamaa na marafiki wote walioondokewa na ndugu yao
Mkuu Siku Yao Umefika... Anything Happen for a Reason Maana Hakuna Jambo linalotokea bila kuwa na Sababu [emoji120][emoji120]
 
Wakuu Huko Morogoro Wa Kwetu Adv. Msando kaanza na Simanzi, Eneo la Oilcom ajari mbaya sana imetokea Costa inatokea dar ikiwa na abiria na Lori la Mizigo zimegongana uso kwa uso kwenye Costa wametoka konda na mama mmoja dereva wa kosta ana hema kwa mbaaaali taarifa Zaidi zitakuja Badae.... View attachment 1826077
Yule chawa wa msando kasemaj?
Poleni wafiwa
 
Kwako Mshana Jr, hii kitaalamu tunaitaje!?
Poleni wafiwa na waliopatwa na madhira haya.
 
Kwako Mshana Jr, hii kitaalamu tunaitaje!?
Poleni wafiwa na waliopatwa na madhira haya.
Mbona taarifa ya Polisi Leo asubuhi wanaeleza kama kulikuwa hakuna maiti kwenye huo msafara, ingawa picha na maua yalikuwepo.
 
Wakuu, huko Morogoro wakwetu adv. Msando kaanza na simanzi, eneo la Oilcom ajari mbaya imetokea Coaster inatokea Dar ikiwa na abiria na lori la mizigo zimegongana uso kwa uso kwenye Coaster.

=====

Watu watano wamepoteza maisha na wengine 24 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria Aina ya Coaster na Lori la mizigo katika eneo la Oil Com nanenane mjini Morogoro.

View attachment 1826195
Inasemekana hiyo coaster iliyokua inadaiwa kusafirisha mwili wa marehemu haikua na marehemu bali waliweka jeneza tu kisha waliweka maua mbele ya gari ili wasiulizwe na askari na badala yake kumbe gari ilikua inasafirisha abiria bila kibali/idhini kutoka kwenye mamlaka husika.
 
Inasemekana hiyo coaster iliyokua inadaiwa kusafirisha mwili wa marehemu haikua na marehemu bali waliweka jeneza tu kisha waliweka maua mbele ya gari ili wasiulizwe na askari na badala yake kumbe gari ilikua inasafirisha abiria bila kibali/idhini kutoka kwenye mamlaka husika.
Jamani huu ubunifu unakribisha pepo la mauti!!
 
Wakati wa Mwendazake ajali zilipungua sana.

Haturajii madereva waanze kupima kina cha maji.
 
Yaan unashindwa kutofautisha majukwaa....kwa kweli mods wana kazi asee
Nafikiri ndg ujumbe ni muhimu zaidi kuliko kujua amepost jukwaa gani, maana ni wenzetu hao waliopotwa na tukio hilo
 
Back
Top Bottom