Doh!!Ajali imehusisha magari matatu, Coaster, lorry, na gari dogo cresta, dereva wa Coaster inasemekana ndio amesababisha hiyo ajali kwa kujaribu kuyapita magari yaliyokuwa mbele yake bila kuchukua tahadhari, Coaster ilikuwa inasafirisha mwili wa marehemu toka Dar kwenda Mbeya kwa mazishi.
Mkuu Siku Yao Umefika... Anything Happen for a Reason Maana Hakuna Jambo linalotokea bila kuwa na Sababu [emoji120][emoji120]Doh!!
Hii sasa, ndio leo naisikia masikioni mwangu, Yaani, Marehemu anakutana na ajali nyingine tena??
Inaumiza sana, Inafikirisha sana kwa ndugu jamaa na marafiki wote walioondokewa na ndugu yao
Siku hizi cha majambazi huko Kisongo!CHAMA CHA MAFISADI - CCM.
Marehemu kaondoka na watu. Sad!Coaster ilikua inapeleka mwili wa marehemu Mbeya
Yule chawa wa msando kasemaj?Wakuu Huko Morogoro Wa Kwetu Adv. Msando kaanza na Simanzi, Eneo la Oilcom ajari mbaya sana imetokea Costa inatokea dar ikiwa na abiria na Lori la Mizigo zimegongana uso kwa uso kwenye Costa wametoka konda na mama mmoja dereva wa kosta ana hema kwa mbaaaali taarifa Zaidi zitakuja Badae.... View attachment 1826077
Mbona taarifa ya Polisi Leo asubuhi wanaeleza kama kulikuwa hakuna maiti kwenye huo msafara, ingawa picha na maua yalikuwepo.Kwako Mshana Jr, hii kitaalamu tunaitaje!?
Poleni wafiwa na waliopatwa na madhira haya.
Chanzo Cha Matatizo=CCM.CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO chadema
Chama cha MashetaniCHAMA CHA MAFISADI - CCM.
Shida juu ya shidaMarehemu kaondoka na watu. Sad!
Hapo ndio umemjibu au??eneo ndio linaitwa nane nane, ajari imetokea muda wa kama saa nne usikuCoaster ilikua inapeleka mwili wa marehemu Mbeya
Inasemekana hiyo coaster iliyokua inadaiwa kusafirisha mwili wa marehemu haikua na marehemu bali waliweka jeneza tu kisha waliweka maua mbele ya gari ili wasiulizwe na askari na badala yake kumbe gari ilikua inasafirisha abiria bila kibali/idhini kutoka kwenye mamlaka husika.Wakuu, huko Morogoro wakwetu adv. Msando kaanza na simanzi, eneo la Oilcom ajari mbaya imetokea Coaster inatokea Dar ikiwa na abiria na lori la mizigo zimegongana uso kwa uso kwenye Coaster.
=====
Watu watano wamepoteza maisha na wengine 24 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria Aina ya Coaster na Lori la mizigo katika eneo la Oil Com nanenane mjini Morogoro.
View attachment 1826195
Jamani huu ubunifu unakribisha pepo la mauti!!Inasemekana hiyo coaster iliyokua inadaiwa kusafirisha mwili wa marehemu haikua na marehemu bali waliweka jeneza tu kisha waliweka maua mbele ya gari ili wasiulizwe na askari na badala yake kumbe gari ilikua inasafirisha abiria bila kibali/idhini kutoka kwenye mamlaka husika.
Nilimuelewa vingine nikijua anauliza hiyo saa nane kama muda hiyo gari ilikua ipoje kwenye safariHapo ndio umemjibu au??eneo ndio linaitwa nane nane, ajari imetokea muda wa kama saa nne usiku
Nafikiri ndg ujumbe ni muhimu zaidi kuliko kujua amepost jukwaa gani, maana ni wenzetu hao waliopotwa na tukio hiloYaan unashindwa kutofautisha majukwaa....kwa kweli mods wana kazi asee
Halafu ukisikia na eneo ilipotokea ajali unabaki kujiuliza, 88 oilcom,Daaaaah,inasikitishaa sanaaa, Mungu awarehemu wote waliofariki,
Morogoro yetu inasakamwa San na ajali, sijui tatizo ni nini