Morogoro: Watu 5 wapoteza maisha, wengine 24 wajeruhiwa katika ajali ya gari

Poleni mno wafiwa na majeruhi Mwenyezi Mungu awape unafuu wa haraka,ajali imetokea sasa nini tujifunze hapa?ajali definitely its someone fault hakuna kitu kinachoitwa ajali;ile barabara kutokea kingorowira hadi kijiji cha Duma ni muhimu ikabanuliwa,alama za barabarani za kuwaonya madereva zikawekwa,jenga fixed speed cameras eneo lile,malori yasiruhusiwe kupaki pembeni mwa barabara unless limepata matatizo na hii ikitokea dereva lazima atumie pembetatu yake kuonya madereva wengine na sio kuweka majani ,traffic officials wafanye kazi zao vema sio kukusanya rushwa tu.
 
Mungu wangu..huo sio mguu mzuri kabisa
 
Majeruhu wote wapate kupona kwa uweza wa Mungu, wapumzike kwa Amani Marehemu wote.
 
Daah;jamaa kaingia na mabalaa kinouma nmeona ajal ya moto kwny bank ya NMB,inabid akatambike kwa kitendo cha kupapasa tupu ya yule mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…