Pre GE2025 Morris Makoi alisambaratisha ngome ya CHADEMA Old Moshi

Pre GE2025 Morris Makoi alisambaratisha ngome ya CHADEMA Old Moshi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ulisoma huku au wewe mwenyewe ndio uliandika humu?


Morris Makoi ni kiongozi wa jamii ndani ya serikali.

Ukiambiwa uthibitishe mahakamani aliko dhulumu unaweza kuthibitisha?
Acha chuki mkuu.
Tapeli mkubwa jambazi huyo. Ndio naweza
 
M
Una akili sana wewe
Wana andaa matukio fake kwa kigezo ni kazi za chama
Matapeli kama kina Makoy...muulize akuhadithie alivyomuibiaga yule comrade vifaa vya ujenzi wakati akiwa na ngulelo hardware ilikuwaje...aliomba msamaha na magoti... sio Kila mtu anaibiwaga mwambie...comrade alikuwa kiongozi mkubwa tu wa chama hapo Arusha mjini
Akueleze kwanini huko Hai alikamatwa na kutupwa rumande...alifanya utapeli Gani kwa kujifanya mwekezaji...ana mambo mengi machafu makoi
 
Back
Top Bottom