Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Umeongea ukweli mtupu mkuuViongozi wa Yanga nao kuna wakati wanatuweka katika wakati mgumu sana mashabiki wa timu! Mfano usajili wa Haji Manara ulikuwa ni hovyo sana.
Kama ni kweli wamemsajili tena huyu mvuta bangi, basi wataonekana ni hopeless mara dufu. I wish hizo tetesi ziwe ni za uongo.
Ndio sanaa ya mpira ilivyo ikiwa tutakosa kabisa wakali wa kimataifa si mbaya akirejeaNitasikitika Sana kama hizi habari ni za kweli.Mtu katuganyia uhuni na kututukana halafu arudi tena
siyo kweli labda wewe hauishi nchi hii..simba tangu miaka ya zamani inapulizia sumu vyumbani inatilia sumu kwenye vyakula vya wapinzani huko mahotelini, inatumia uchawi sasa bm3 katokea wapi tenaBila BM3 Simba isingefika robot fainali CAFCC mwaka huu
kuna watu hapo simba wanaona watakosa deal lazima watikise kiberiti kujua reaction ya mashabiki maana msimu uliopita kelele za mashabiki zilimbakiza kagere...wanajua morrison akilamba hela ya mkataba hawakosi pasenti yaoNafikiri ni watu wanampigia chapuo, Yanga hauwezi kufanya huo ujinga kamwe
Kumbe akili unazo ila huwa unajichetuakuna watu hapo simba wanaona watakosa deal lazima watikise kiberiti kujua reaction ya mashabiki maana msimu uliopita kelele za mashabiki zilimbakiza kagere...wanajua morrison akilamba hela ya mkataba hawakosi pasenti yao