Morrison aisee

Morrison aisee

changaule

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2020
Posts
6,039
Reaction score
10,151
Sijui Morrison aliwaza nini kwa kufanya hivi alivyofanya. Yaani unaacha mpira unaenda kujiparamia kwenye miguu ya mchezaji. Pengine angefanya maamuzi zaidi ya haya aliyoyafanya ingesaidia timu ya simba kwenda mapumziko kwa magoli magoli mawili.

 
Alielekezwa afanye hivyo
Sijui Morrison aliwaza nini kwa kufanya hivi alivyofanya. Yaani unaacha mpira unaenda kujiparamia kwenye miguu ya mchezaji. Pengine angefanya maamuzi zaidi ya haya aliyoyafanya ingesaidia timu ya simba kwenda mapumziko kwa magoli magoli mawili
 
Refa angekuwa upande wetu hapo angefunika tuta.
Ila yule Refa nahisi ni mzee wa Kanisa maana alitenda haki sana labda ile ya jamaa aliyenawa kwa mkono kwa Marefarii wetu wangetoa tuta.

Uto huwa wanalalamika sana kuwa Simba huwa inabebwa na waamuzi, lakini kwa game ya jana mimi naona Simba inajibeba kwa uwezo wake
 
Aloooo we jamaaa upo kiunoni mwa dunia. Hayo hatujadili saivi😂😂😂
 
Huyo Morison akili zake anazijua mwenyewe. Kuna wakati kama mtu vile halafu dakika kumi baadae kama chizi fulani hivi. Sijui ndio akili zimemzidi au vipi. Alivyoingia kipindi cha kwanza aliisaidia sana Simba kuipeleka mbele mpaka Kaizer wakachanganyikiwa na kila mtu akajua leo Kaizer wanakula 5 - 0. Kipindi cha pili akawa anaikaba Simba kuna mahali pembeni karibu kabisa na goli kampindua beki wa Kaizer kama mara nne hivi badala apige krosi watu wafunge mpaka akaja mchezaji mwingine wa Kaizer akaokoa ile hatari. Na kuna magoli mawili ya wazi aliyakosa kwa mizaha mizaha yake.
 
Kuna wakati alikamatwa na bangi kwenye gari, baadhi ya watu wakasema eti Yanga wamemtengenezea zengwe!

Ila kwa mpira aliocheza jana, haihitaji akili kubwa kugundua huyu Morrison anakula ganja! 🚬
 
Kuna wakati alikamatwa na bangi kwenye gari, baadhi ya watu wakasema eti Yanga wamemtengenezea zengwe!

Ila kwa mpira aliocheza jana, haihitaji akili kubwa kugundua huyu Morrison anakula ganja! [emoji377]
Hata yule Mghana mwenzake Lamine Moro naye yuko hivyo hivyo bangi tupu.
 
"get him a blanket from GSM mall"

Mzee wa kukera....
IMG-20210524-WA0010.jpg
IMG-20210524-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom