Morrison akubali kubaki Simba, umafia wafanyika usiku huu, Yanga hawaamini macho yao

Morrison akubali kubaki Simba, umafia wafanyika usiku huu, Yanga hawaamini macho yao

Kama ulidhani Simba ni paka basi andika umeumia, Simba imefanikiwa kumbakisha Morrison ambaye alikuwa tayari amesainishwa mkataba Leo na yanga, kikao kilichofanyika usiku wa Leo na kumalizika usiku huu kikiongozwa na mamafia wa usajili Simba kiliamua kwa kauli moja Morrison aendelee kutumikia klabu, Morrison alieleza yake ya moyoni na uongozi ukaeleza yao na hatimaye wamekubali kuanza moja, wale waliomsainisha mkataba Morrison wameliwa mzigo wao.

Kwa kweli penye miti hakuna wajenzi, mafia wa Simba walikula timing baada ya kuona Yanga wamemwaga mpunga na kumpa kandarasi ya miaka 2 wakaona kwa vile bado mkataba wao na Morrison haujakwisha, wamekaa naye Leo usiku na kuyamaliza.

Morrison aliwaambia viongozi hao kuwa anaipenda sana Simba, alilazimika kurudi yanga kwa sababu hakuwa na jinsi lkn anaipenda Simba from the bottom of his heart na ndio maana aliomba mashabiki wampe jezi 100 azipeleke kwao akaage.

Simba walimwambia hawakutaka kumuaga kwa sababu bado wana mipango naye, poleni sana yanga, nyie endeleeni na Chico Ushindi tu, Morrison amekubali kubaki Simba.
Ghazwat hii habari ina ukweli ?
 
Yaani vitu ambavyo washabiki wa Simba wanashabikia msimu huu hadi aibu. Kwahiyo hapo mnaona mmeweeeeza wenyewe. Msimu mliopita si mlikuwa nae Morrison, aliwasaidia Nini?

Yanga walitaka kimchukua Morison sababu ya revenge tu ila sio kipaumbele Chao kabisa na isitoshe kwann Simba mnachezeshwa gwaride kwenye usajili na Yanga hivi? Alafu mnafatisha tu wakati wenzenu wanawaingiza Chaka. Simba kiuhalisia hamumuitaji Morison ila Kwa kuwa Yanga kawatisha kumsajili mmejaa kingi mmevaba, poleni sana.
yani mtu anayejua soka anauliza morison aliisaidia timu kitu gan msimu uliopita,kweli mapoyoyo ni mengi humu.fatilia mechi na magoli ya morison kimataifa
 
Yanga walitaka kimchukua Morison sababu ya revenge tu ila sio kipaumbele Chao kabisa
Binafsi sina uhakika na taarifa hii na wala kwangu hainifurahishi kama shabiki wa mnyama, lakini nakataa unaposema Yanga ilitaka kumchukua Morrison kama revenge tu. Sidhani kama Nabi angeruhusu aafutwe mchezaji si kwa ajili ya mahitaji, ila kulipa kisasi, otherwise uniambie Nabi hashirikishwi katika usajili
 
Kama ulidhani Simba ni paka basi andika umeumia, Simba imefanikiwa kumbakisha Morrison ambaye alikuwa tayari amesainishwa mkataba Leo na yanga, kikao kilichofanyika usiku wa Leo na kumalizika usiku huu kikiongozwa na mamafia wa usajili Simba kiliamua kwa kauli moja Morrison aendelee kutumikia klabu, Morrison alieleza yake ya moyoni na uongozi ukaeleza yao na hatimaye wamekubali kuanza moja, wale waliomsainisha mkataba Morrison wameliwa mzigo wao.

Kwa kweli penye miti hakuna wajenzi, mafia wa Simba walikula timing baada ya kuona Yanga wamemwaga mpunga na kumpa kandarasi ya miaka 2 wakaona kwa vile bado mkataba wao na Morrison haujakwisha, wamekaa naye Leo usiku na kuyamaliza.

Morrison aliwaambia viongozi hao kuwa anaipenda sana Simba, alilazimika kurudi yanga kwa sababu hakuwa na jinsi lkn anaipenda Simba from the bottom of his heart na ndio maana aliomba mashabiki wampe jezi 100 azipeleke kwao akaage.

Simba walimwambia hawakutaka kumuaga kwa sababu bado wana mipango naye, poleni sana yanga, nyie endeleeni na Chico Ushindi tu, Morrison amekubali kubaki Simba.
Nitafurahi hili jambo likiwa kweli. Maana kutoka moyoni simkubali huyu mchezaji pamoja na Haji Manara, kwa kukosa kwao akiba ya maneno. Ni vile tu kibinadamu inanilazimu kuwachukulia.
 
Tusubiri tuone itakavyokua
Pole kwa kupigwa na kitu kizito kichwani. Ghafla tu umekuwa mdogo kama pirton.

Siku nyingine usicheze kabisa na umafia wa viongozi wetu. Ona sasa! usiyemtaka karudi tena.
 
Mamdogo nasikia watoto wanalia hapo, wanyonyeshe kidogo basi, si vyema unachat hovyo na watoto wanalia, wanyonyeshe kidogo.
Unatangaza hii vita ya 3 ya dunia ukiwa wapi? Kremlin, Washington DC au London? 😁😁
 
Simba hakuna Mafia yoyote, wamebaki viongozi waliokuja na mbio za mwenge. Msimu ujao mnaendelea kuteseka.
 
Angekuwa siyo wa maana Kwenu akina Haji Manara, Mohammed Bhinda na Injinia Hersi Said wangekuwa kutwa Wanamuita pale Slip Way na kumpa Ahadi nyingi kama akirejea Yanga SC?

Huna unachokijua na uwe Unanyamaza tu. Siyo nyie mliokuwa mkifurahi mliposikia kuwa Morisson anarejea Yanga SC? Yaani leo baada ya kusikia hapa kuwa Simba SC imembakisha ndiyo mnasema wa nini?

Wanafiki na Majuha wakubwa nyie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nitafurahi hili jambo likiwa kweli. Maana kutoka moyoni simkubali huyu mchezaji pamoja na Haji Manara, kwa kukosa kwao akiba ya maneno. Ni vile tu kibinadamu inanilazimu kuwachukulia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole kwa kupigwa na kitu kizito kichwani. Ghafla tu umekuwa mdogo kama pirton.

Siku nyingine usicheze kabisa na umafia wa viongozi wetu. Ona sasa! usiyemtaka karudi tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala hata, vyovyote itakavyokua na iwe.
Akiondoka n sawa, akibaki n sawa.
 
Kama ulidhani Simba ni paka basi andika umeumia, Simba imefanikiwa kumbakisha Morrison ambaye alikuwa tayari amesainishwa mkataba Leo na yanga, kikao kilichofanyika usiku wa Leo na kumalizika usiku huu kikiongozwa na mamafia wa usajili Simba kiliamua kwa kauli moja Morrison aendelee kutumikia klabu, Morrison alieleza yake ya moyoni na uongozi ukaeleza yao na hatimaye wamekubali kuanza moja, wale waliomsainisha mkataba Morrison wameliwa mzigo wao.

Kwa kweli penye miti hakuna wajenzi, mafia wa Simba walikula timing baada ya kuona Yanga wamemwaga mpunga na kumpa kandarasi ya miaka 2 wakaona kwa vile bado mkataba wao na Morrison haujakwisha, wamekaa naye Leo usiku na kuyamaliza.

Morrison aliwaambia viongozi hao kuwa anaipenda sana Simba, alilazimika kurudi yanga kwa sababu hakuwa na jinsi lkn anaipenda Simba from the bottom of his heart na ndio maana aliomba mashabiki wampe jezi 100 azipeleke kwao akaage.

Simba walimwambia hawakutaka kumuaga kwa sababu bado wana mipango naye, poleni sana yanga, nyie endeleeni na Chico Ushindi tu, Morrison amekubali kubaki Simba.
Alafu wewe jamaa ni punga kweli kweli, Kama ameshasaini yanga iyo ishatoka labda Kama alikuwa ajasaini, lakini Kama alikuwa amshasaini Ina maana akuna namna simba imrubuni tena kusaini kwao kwa maana ata mkataba wake umebakisha mwez 1 kumalizika ivyo sidhani Kama anaweza kusaini timu 2 labda Kama ataki tena kucheza mpira Tanzania, Simba Kama walizubaa kumuongezea mkataba na yanga wakamuwai iyo imekula kwenu hizo habari za umafia endeleeni nazo mwisho wa siku itajulikana mbele ya safari
 
Nilistaajabishwa na uamuzi wa Simba kumwacha Morrison. Yule jamaa mbona kimataifa ametubeba mara nyingi sana?

Mmesahau zile faulo zake za haraka haraka kabla wapinzani hawajapanga ukuta?

Yale matatizo mengine yanavumilika. Mbona AC Milan ilimvumilia Gennare Gattuso?
Tatizo hana adabu.
 
Hii habari siiamini, infact sitaki Morisson abaki Simba SC, aondoke, Simba SC is way much bigger than bangi za Morisson.
 
Tatizo hana adabu.
Tatizo hana adabu.
Unafikiri utovu wa nidhamu Morrison unaweza kuufikia ule wa Edmund 'The Animal' wa Brazil aliyebeba World Cup 1998 (yule aliyemtwanga makofi Ronaldo De Lima wakiwa hotelini akimtuhumu kwa kufanya 'utoto' uwanjani)? Unajua kwanini walimwita The Animal? na bado Mario Zagallo wakuwa tayari kumwacha?
 
Back
Top Bottom