Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari wadau,
Kitendo cha wachezaji wa yanga wakiongozwa na Lamine kumwambia kocha amtoe Morrison kibinadamu sio sawa.
Hata ingekua ni mimi baada ya kutolewa kwa shinikizo la wachezaji wenzangu, nisingeweza kukaa benchi.
Kwahiyo, binafsi kwa tukio la jana namuunga mkono BM33.
Kitendo cha wachezaji wa yanga wakiongozwa na Lamine kumwambia kocha amtoe Morrison kibinadamu sio sawa.
Hata ingekua ni mimi baada ya kutolewa kwa shinikizo la wachezaji wenzangu, nisingeweza kukaa benchi.
Kwahiyo, binafsi kwa tukio la jana namuunga mkono BM33.