Morrison alikuwa sahihi

Morrison alikuwa sahihi

Morrison alikuwa hakabi.. kuna muda hata wenzanke walikuwa wanamuuliza vipi?

Kumtoa sizani kama wachezaj wameshinikiza.. bali ni benchi la ufundi.. kwa mpira aliokuwa anaucheza morrison hata mimi ningekuwa kocha ningemtoa kwa ushahidi wa macho yangu kumuona anacheza vibaya
Morrison jana katuuza.
 
Kwa kweli to be fair viongozi wa Yanga na bench ni wajinga na pia wapumbavu ...yaani unamchezesha mchezaji ambaye walishitakiana huko TFF halafu alipewa sh. Dola 10,000 na timu Fulani...halafu unamchezesha tshitshimbi ambaye hajacheza mechi muda mrefu...yaani yule Morrison anatembea tu hakabi...tshitshimbi anaokoa mpira kwa kichwa anampa adui duh...
kumbuka kuwa kkoo kuna madalali mpaka wa mabeki tatu kwahiyo akina yipe wameletwa na nani pale yanga...utavuna ulichopanda
 
Mkuu kwani alicheza mwenyewe
Utopolo uwelewa wao mdogo, yaan watu badala ya kulalamikia benchi la ufundi wao wanamlaumu morisoni. Timu nzima walifichwa coz hata mkataviuno( molinga), nionzima, tshishimbi n.k lakini kwa uwelewa wao mdogo wanahisi morisoni ndio tatzo. Morison angefanya nn nyie utopolo
 
Back
Top Bottom