Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Ni kweli kwamba alitolewa kwa shinikizo la wachezaji wenzake.Habari wadau
Kitendo cha wachezaji wa yanga wakiongozwa na Lamine kumwambia kocha amtoe Morrison kibinadamu sio sawa.
Hata ingekua ni mimi baada ya kutolewa kwa shinikizo la wachezaji wenzangu nisingeweza kukaa benchi,
Kwa hiyo binafsi kwa tukio la jana namuunga mkono BM33.
NdioNi kweli kwamba alitolewa kwa shinikizo la wachezaji wenzake.
Eeh,kumbe.Habari wadau,
Kitendo cha wachezaji wa yanga wakiongozwa na Lamine kumwambia kocha amtoe Morrison kibinadamu sio sawa.
Hata ingekua ni mimi baada ya kutolewa kwa shinikizo la wachezaji wenzangu, nisingeweza kukaa benchi.
Kwahiyo, binafsi kwa tukio la jana namuunga mkono BM33.
Kipi kitakachotuaminisha kuwa alitolewa kwa shinikizo la wachezaji?Habari wadau,
Kitendo cha wachezaji wa yanga wakiongozwa na Lamine kumwambia kocha amtoe Morrison kibinadamu sio sawa.
Hata ingekua ni mimi baada ya kutolewa kwa shinikizo la wachezaji wenzangu, nisingeweza kukaa benchi.
Kwahiyo, binafsi kwa tukio la jana namuunga mkono BM33.
wewe ulikuwepo wakati Lamine anatoa maelekezo kwa kocha?Ndio
Kwa kweli to be fair viongozi wa Yanga na bench ni wajinga na pia wapumbavu ...yaani unamchezesha mchezaji ambaye walishitakiana huko TFF halafu alipewa sh. Dola 10,000 na timu Fulani...halafu unamchezesha tshitshimbi ambaye hajacheza mechi muda mrefu...yaani yule Morrison anatembea tu hakabi...tshitshimbi anaokoa mpira kwa kichwa anampa adui duh...Bench la ufundi na uongozi mzima wa Yanga wanastahili lawama zote kwa kumchezesha huyu mhuni. Kwa tabia aliyoionyesha kwa wiki tatu hizi hadi kupelekea kwenda kuishataki Yanga TFF ni dhahiri hakuwa tena na mapenzi ya kuichezea Yanga hivyo kumchezesha katika mechi muhimu na ngumu kama ya jana ule ni utopolo kabisa.
Me tooSinaga huruma na yanga maana nawaona ni ccm tum ...
tuwalaumu wachezaji wetu wa kibongo mtu kama ajibu kwann alitoka yanga akiwa kapteni na akaenda simba kwann??sasa simba kacheza mechi ngapi pale Zaidi ya bench ...akina Morrison watatushika matako mpaka tukome kwakuwa uchezaji wao wa mpira kwa hapa kwetu hakunaBench la ufundi na uongozi mzima wa Yanga wanastahili lawama zote kwa kumchezesha huyu mhuni. Kwa tabia aliyoionyesha kwa wiki tatu hizi hadi kupelekea kwenda kuishataki Yanga TFF ni dhahiri hakuwa tena na mapenzi ya kuichezea Yanga hivyo kumchezesha katika mechi muhimu na ngumu kama ya jana ule ni utopolo kabisa.
kumbuka kushindanishwa kufanya mtiani na mwanafunzi wa feza boyz ada kwa mwaka mil15 alafu akahindane na mtoto mmoja wa Azania boyz...manyoya lazimaMtoto akililia wembe unampa, hakuna mchezaji yanga wa kulinganishwa na simba ona mmeaibishwa jana, kwa level yenu bado mtembea juu ya bodaboda mnamuhitaji sana na hamna ubavu wa kumfukuza na msipoangalia next season mnashuka daraja tumbaf zenu...