Morrison alikuwa sahihi

Morrison jana katuuza.
 
kumbuka kuwa kkoo kuna madalali mpaka wa mabeki tatu kwahiyo akina yipe wameletwa na nani pale yanga...utavuna ulichopanda
 
Mkuu kwani alicheza mwenyewe
Utopolo uwelewa wao mdogo, yaan watu badala ya kulalamikia benchi la ufundi wao wanamlaumu morisoni. Timu nzima walifichwa coz hata mkataviuno( molinga), nionzima, tshishimbi n.k lakini kwa uwelewa wao mdogo wanahisi morisoni ndio tatzo. Morison angefanya nn nyie utopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…