Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Senzo kahusikaHii lugha ya Manara utadhani katranslate kutoka Google[emoji3][emoji3][emoji3]
Madam tatizo nini?Morrison atamvulia bukta Muddy mda c mrefu..
Kamwambia ukweli, ambao wengi wanaogopa kuusema.Yawezekana ikafika siku Haji akayakumbuka maneno ya BM.
Home shopping centerManara ndiye ana praise mtu ambaye haderseve huo utajiri wa mpira anaousema ( Manara is the one praising someone who doesn't deserve to be richer than Mo,. Manara ni kama chawa tu ). Morrison yuko sahihi .
Wewe ulivyoleta hii hoja hapa kwani hii ni page ya Manara au Senzo?Na wewe nenda kwenye page yake umshauri
Yawezekana ikafika siku Haji akayakumbuka maneno ya BM.
huo ni ushauri ambao yeyote mwenye akili angeweza kuutoa kwa Manara. ukiangalia Manara ameanza kuonyesha jinsi alivyomsaidia BM as if ukimsaidia mtu ndio tiketi ya kutokukukosoaKwel nzi akiacha ujinga anaanza kutengeneza asali. Hivi kumbe kichwa cha Morrison kina akili namna hii 😁😁😁
Nani kakwambia kuna tatizo?Madam tatizo nini?
kama unavyowavulia?njoo univulie na mimi basiMorrison atamvulia bukta Muddy mda c mrefu..
Kweli kabisa.Yawezekana ikafika siku Haji akayakumbuka maneno ya BM.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]Hii lugha ya Manara utadhani katranslate kutoka Google[emoji3][emoji3][emoji3]