Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bibi naona unawashwa tulia na mkia wako hatutaki senene.Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirates amefedheeka sana kwa kuiga stail yake wakati mkicheza timu moja huko South.
Kumbe wakati wewe kakuweka Benchi ulikuwa na kazi ya kukopi haki zake za kucheza mpaka manjonjo.
Watanzania na Wanasimba wote tunakwambia hatujaona kiti kipya maaana ulichofanya jana ni kukopi na kupaste kazi ya Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirate. Wazembe tu ndio wataona kitu kipya no thanks.
Angalia video chini
Kuna tofauti kati ya kuchezea mpira kwa Zidane, Gaucho na Morrison. Zidane na Gaucho walikuwa wakitumia talents/skills kuwahadaa wapinzani ili wawapige chenga kwa nia ya kupata ushindi wakati ambapo Morrison anachezea mpira bila kuwa na lengo la kupata ushindi bali kufanya show off tu.Msamehe bure, shule ndogo inaonekana..plagiarism ktk kuchezea mpira....!?? Zidane na Ronaldinho Gaucho wangewashtaki wachezaji kibaooo[emoji383][emoji383]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unamaanisha unakubaliana na mtoa mada kuwa alichokifanya "fundi" Morrison ni "plagiarism"?Kuna tofauti kati ya kuchezea mpira kwa Zidane, Gaucho na Morrison. Zidane na Gaucho walikuwa wakitumia talents/skills kuwahadaa wapinzani ili wawapige chenga kwa nia ya kupata ushindi wakati ambapo Morrison anachezea mpira bila kuwa na lengo la kupata ushindi bali kufanya show off tu.
Ndio maana huwezi kuwaona akina Messi wakifanya show off kwenye mechi eti kwa sababu wameshinda, ni lazima umheshimu mpinzani wako, and that's professionalism in football.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirates amefedheeka sana kwa kuiga stail yake wakati mkicheza timu moja huko South.
Kumbe wakati wewe kakuweka Benchi ulikuwa na kazi ya kukopi haki zake za kucheza mpaka manjonjo.
Watanzania na Wanasimba wote tunakwambia hatujaona kiti kipya maaana ulichofanya jana ni kukopi na kupaste kazi ya Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirate. Wazembe tu ndio wataona kitu kipya no thanks.
Angalia video chini
Napataga shida sana kuongea na washabiki wa simba maana asilimia 98% ni mbumbumbu.
Kuna tofauti kati ya kuchezea mpira kwa Zidane, Gaucho na Morrison. Zidane na Gaucho walikuwa wakitumia talents/skills kuwahadaa wapinzani ili wawapige chenga kwa nia ya kupata ushindi wakati ambapo Morrison anachezea mpira bila kuwa na lengo la kupata ushindi bali kufanya show off tu.
Ndio maana huwezi kuwaona akina Messi wakifanya show off kwenye mechi eti kwa sababu wameshinda, ni lazima umheshimu mpinzani wako, and that's professionalism in football.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwa nini isiwe huyo Msauzi ndiyo kachukua kwa Morrison?Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirates amefedheeka sana kwa kuiga stail yake wakati mkicheza timu moja huko South.
Kumbe wakati wewe kakuweka Benchi ulikuwa na kazi ya kukopi haki zake za kucheza mpaka manjonjo.
Watanzania na Wanasimba wote tunakwambia hatujaona kiti kipya maaana ulichofanya jana ni kukopi na kupaste kazi ya Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirate. Wazembe tu ndio wataona kitu kipya no thanks.
Angalia video chini
We ni mbumbumbu aliyewataja RageMchezaji mwenzako wa Orlando Pirates amefedheeka sana kwa kuiga stail yake wakati mkicheza timu moja huko South.
Kumbe wakati wewe kakuweka Benchi ulikuwa na kazi ya kukopi haki zake za kucheza mpaka manjonjo.
Watanzania na Wanasimba wote tunakwambia hatujaona kiti kipya maaana ulichofanya jana ni kukopi na kupaste kazi ya Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirate. Wazembe tu ndio wataona kitu kipya no thanks.
Angalia video chini
Mbumbumbu atajuaje?Sorry mkuu, unafahamu maana ya plagiarism na namna inavyofanya kazi kisheria?
Mbona umejibu Nje ya hoja? Alichokuwa amehoji uliyemjibu ni kuwa kama kuiba mtindo wa mchezaji mwengine ni jinai, basi Zizou na Dinho wangeshashtaki wengi kwa kuiga mitindo yao ya uchezaji. Swala ni mtindo wa uchezaji, si mbwembwe.Kuna tofauti kati ya kuchezea mpira kwa Zidane, Gaucho na Morrison. Zidane na Gaucho walikuwa wakitumia talents/skills kuwahadaa wapinzani ili wawapige chenga kwa nia ya kupata ushindi wakati ambapo Morrison anachezea mpira bila kuwa na lengo la kupata ushindi bali kufanya show off tu.
Ndio maana huwezi kuwaona akina Messi wakifanya show off kwenye mechi eti kwa sababu wameshinda, ni lazima umheshimu mpinzani wako, and that's professionalism in football.
Sent using Jamii Forums mobile app
’Mchezaji Meenzako’ ndiye nani? Muulize Mwalim Kashasha atakutajia mbinu kibao zilizobuniwa na mchezaji mmoja na wengine wanaendelea kuzitumia hadi leo: Penalti ya Panenka, Cruyff turn, CR7 Chop, Berbatov spin, Mcgeady spin, Bolaise 360 spin, Bicycle kick ndiyo usiseme: kuna ya Pele (1968), ya Leonidas (1932) na hata ya Unzaga (1914) labda kwa sababu zama hizo watu hatakuwa wakizina mechi mubashara na kwa hivyo kila mmojawao akaonekana ndiye mwasisi. Sasa ndugu yetu la ajabu lipi hapo? Mbona hatujasikia makocha wakishtakiwa kwa kutumia mifumo iliyoanzishwa na watangulizi wao? Hakuna jipya kwenye soka la leo, ni mseto wa mbinu, maarifa na mifumo iliyotangulia kwa kutumia uwezo, ujuzi na utundu wa jamii ya soka ya leo.Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirates amefedheeka sana kwa kuiga stail yake wakati mkicheza timu moja huko South.
Kumbe wakati wewe kakuweka Benchi ulikuwa na kazi ya kukopi haki zake za kucheza mpaka manjonjo.
Watanzania na Wanasimba wote tunakwambia hatujaona kiti kipya maaana ulichofanya jana ni kukopi na kupaste kazi ya Mchezaji mwenzako wa Orlando Pirate. Wazembe tu ndio wataona kitu kipya no thanks.
Angalia video chini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Napataga shida sana kuongea na washabiki wa simba maana asilimia 98% ni mbumbumbu.