kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Hutasikia mtu anaongelea majibu ya uchunguzi wa polisi.
Ukweli ni kwamba Yanga ilighushi saini ya Morrison. Hili ni kosa kubwa sana na wanastahili kushushwa daraja.
Bado inaonesha mchezo mchafu huo ulifanywa kwa ushirikiano na baadhi ya watendaji wa TFF.Kuna umuhimu wa kufanya uchunguzi huru kujua nini kilitokea hapo TFF kuwezesha ujinga waliofanya Yanga hadi wakaamini wako sahihi.
Wachambuzi wataishia kulaumu vilabu vya Simba na Yanga huku ushahidi unaonesha kuwa Yanga ndiyo inaendeshwa kihuni sana.
Jiulize kauli yao kuhusu Shishimbi kusaini mkataba wa mwaka miwili.
Jiulize kuhusu barua yao waliyojiita sure boy na mchezaji akawakana.
Wachambuzi maandazi yote hayo huwezi kuwasikia wakiyasema.
Ukweli ni kwamba Yanga ilighushi saini ya Morrison. Hili ni kosa kubwa sana na wanastahili kushushwa daraja.
Bado inaonesha mchezo mchafu huo ulifanywa kwa ushirikiano na baadhi ya watendaji wa TFF.Kuna umuhimu wa kufanya uchunguzi huru kujua nini kilitokea hapo TFF kuwezesha ujinga waliofanya Yanga hadi wakaamini wako sahihi.
Wachambuzi wataishia kulaumu vilabu vya Simba na Yanga huku ushahidi unaonesha kuwa Yanga ndiyo inaendeshwa kihuni sana.
Jiulize kauli yao kuhusu Shishimbi kusaini mkataba wa mwaka miwili.
Jiulize kuhusu barua yao waliyojiita sure boy na mchezaji akawakana.
Wachambuzi maandazi yote hayo huwezi kuwasikia wakiyasema.