Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Amesema “Mahitaji ya maji kwa Morogoro ni Lita Milioni 81 kwa siku lakini uzalishaji ni Lita Milioni 41 kwa siku, tunazalisha Asilimia 51 kwa siku, hivyo kuna upungufu wa Asilimia 49, hali hiyo inasababisha tutoe huduma yetu kwa mgao.”
Amesema hayo baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kuhoji juu ya uhaba wa maji huku kukiwa na ukimya wa MORUWASA.
Kusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ Waziri Aweso unasema DAWASA kuna hujuma? Njoo Morogoro, huduma ya Maji ni kero kubwa