Mose Iyobo kwa hiki alichokifanya amemdhalilisha sana Aunt Ezekiel; binafsi nimesikitika sana

Mose Iyobo kwa hiki alichokifanya amemdhalilisha sana Aunt Ezekiel; binafsi nimesikitika sana

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Ama kweli wadada wanao tembea na viben ten wanakumbana na mitihani mizito sana ,na mtihani mkubwa ni kudhalilika kimaumbile.

Hilo limejidhihirisha hata kwa Mose Iyobo , ishu ilikuwa ni hivi, kuna picha imepostiwa instagram ikionesha maziwa ya Aunt EZEKIEL ,aliyepost hiyo picha alikuwa anasifia maziwa ya Aunt Ezekiel kwa sifa kedekede na kusema wazi wazi kwamba Mose Iyobo anamfaidi sana Aunt kwenye sita kwa sita.

Kwa mtu mwenye akili timamu ningetarajia angekemea suala la mke wake/mchumba wake kudhalilishwa hovyo mitandaoni kwa kuwa kwa sasa Aunt Ezekiel ameshamzalia na mtoto kabisa Iyobo kwa hiyo hata ile thamani ya Aunt nilitarajia itakuwa ni kubwa kwa Iyobo,salaaaaaaleeee alichokuja ku reply Mose Iyobo kiliniacha mdomo wazi mpaka nikajiuliza kama ana akili timamu.

Mose Iyobo alikuja ku reply kwa kuandika Aunt ana maziwa malainiiiii kiasi kwamba akiya shika shika anajihisi kama yupo peponi vile.

Kwa kweli inabidi ajitathimini upya maana si kwa ujinga huu.

IMG_20180504_012520_061.jpg
IMG_20180504_012537_547.jpg
 
Demu mdangaji mkongwe na dogo anajua,mimi 2017 mchizi wng kamngoa akamwambia jamaa nenda hom ntakuja bdae mkata viuno akifakamia heinessy ya bure aliyokuta mezani mkewe kanunuliwa
Na mie namtaka sana huyu Malaya. Dau lake sh.ngapi?
 
Hiyo ni mbwa kala mbwa ,,,,,sioni kitu cha maana hapo,Aunt mwenyewe ni scraper la siku nyingi na biashara yake hawezi kuiacha kamwe.
 
Huyo uliemtaji jina wa 5,ndio alimweka jamaa yng,yeye ndio aliokua anagongwa na jamaa bdae akamwambia nipe flani na kiu nae kitambo,bongo movie hawanaga noma unapiga mtu na rafiki yake
Haha, tangu lini Malaya akawa na wivu. Wanajuana hao!
 
Huyo uliemtaji jina wa 5,ndio alimweka jamaa yng,yeye ndio aliokua anagongwa na jamaa bdae akamwambia nipe flani na kiu nae kitambo,bongo movie hawanaga noma unapiga mtu na rafiki yake
Jamani Ndauka huwa namuona mpole halafu kazuri
 
Back
Top Bottom