Mose Iyobo kwa hiki alichokifanya amemdhalilisha sana Aunt Ezekiel; binafsi nimesikitika sana

Mose Iyobo kwa hiki alichokifanya amemdhalilisha sana Aunt Ezekiel; binafsi nimesikitika sana

Ngoma sio tatizo huwezi jua kma anatumia kinga au laaah,shida ni njaa zao lazma wauze ili wavae,kula etc ndio wamaisha walichagua
Kwa mfano Diamond na hizi skendo za kubebesha mimba wanawake ni wazi huwa hatumii kinga, pengine hawa wasanii huwa wana antivirus mwilini, huwezi ukauza mechi kwa mtu kama Wema or Mobeto kirahisi tu hata hujistukii
 
Kwa mfano Diamond na hizi skendo za kubebesha mimba wanawake ni wazi huwa hatumii kinga, pengine hawa wasanii huwa wana antivirus mwilini, huwezi ukauza mechi kwa mtu kama Wema or Mobeto kirahisi tu hata hujistukii
Hao kutumia kinga huwa hamna ni kutembea na rim mwanzo mwisho
 
Ngoma sio tatizo huwezi jua kma anatumia kinga au laaah,shida ni njaa zao lazma wauze ili wavae,kula etc ndio wamaisha walichagua
Napo ni maisha magumu ghafla kondomu imepasuka au mtu ana vidonda mdomoni ujaviona ha ha ha ha ha hapana aisee nawasifu wana mioyo.
 
Mi huwa nawashangaa sana hawa vijana wanaojidanganya kuwamiliki mademu type hii kama Wema, Uwoya, Wolper, Aunt, Ndauka, Kajala, n.k Hao umalaya/kudanga kuko damuni, hawawezi acha kamwe. Utatombewa hadi ukome!
Na mademu hao wanataka viben10 ili wavidhibiti visiwe na sauti mbele zao so unakua kama mtu na boss wake tu.
 
Wewe nae, si ungeenda kwenye jukwaa la siasa umefuata nini huku kama sio umbea.
Kweli Mange alikua anapoteza muda wake na nguvu, watu wenyewe wa kuandamana ndio hawa wanamsifia kabisa mkata kiuno!! Nwatu urojo ndio wangeandamana hawa kweli na wengine ndio hao wakata viuno jukwaani. Kazi kweli kweli.
 
Biashara matangazo. Biashara hiyo ni ya familia.
Kwani Iyobo hajuagi kuwa mkewe anajiuza Dubai?
haha hahaa"" hao wanajuana mbona wote wamekutana wadangaji"" eti hance anajifnya hajui ...salaaleeee
 
Huyo uliemtaji jina wa 5,ndio alimweka jamaa yng,yeye ndio aliokua anagongwa na jamaa bdae akamwambia nipe flani na kiu nae kitambo,bongo movie hawanaga noma unapiga mtu na rafiki yake
haaahaha ndio desturi ya umalaya ukikukolea sana kushare na rafiki yko nikawaida tu" hakunaga mambo ya wivu
 
Back
Top Bottom