mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Hawezi kuwa zaidi ya bocco au kibu siku zote! kocha ndo anajua form ya kila mchezaji kila siku!!Na hakuna aliyesema phiri ni zaidi ya klabu,ila wanasema Phiri ni zaidi ya bocco na kibu over
kocha ndiye anausoma mchezo kwa pande zote mbili pia alikuwa anapima wachezaji kwenye mazoezi viwango vya wachezaji hupanda na kushukaHakuna mchezaji mkubwa zaidi ya Simba Sc, kelele za kwanini hachezi kwangu hazina maana yoyote, mwenye jukumu la kupanga timu ya ushindi ni kocha, na kocha ndie anakuwa responsible timu ikifanya vibaya..
Kama timu inafanya vizuri kocha kumlaumu kocha kwasababu yoyote ni uzuzu tu, kocha hapangiwi timu, hafundishwi kazi na yeyote, aachwe afabye kazi yake. Sio Phiri, sio Chama, sio yeyote, Simba Sc kwanza, ushindi muhimu zaidi.
Acha upumbavu basi.Hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya Simba Sc, kelele za kwanini hachezi kwangu hazina maana yoyote, mwenye jukumu la kupanga timu ya ushindi ni kocha, na kocha ndie anakuwa responsible timu ikifanya vibaya..
Kama timu inafanya vizuri kocha kumlaumu kocha kwasababu yoyote ni uzuzu tu, kocha hapangiwi timu, hafundishwi kazi na yeyote, aachwe afabye kazi yake. Sio Phiri, sio Chama, sio yeyote, Simba Sc kwanza, ushindi muhimu zaidi.
PumbavuKibu mnamuonea bure ivi kunamchezaji anacheza hovyo kama saido? phili achukue nafasi ya saido
Huna unacho juaPumbavu