OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #21
twende kwa facts. naona umekimbilia TangaMessage sent & Delivered.Najua Umeelewa ila umejitoa ufahamu na kusema makolokolo mtapata tabu sana kuanzia msimu huu na kuendelea . Leo Fuatilia kitakachompata mtoto wako kule Tanga ni mwendo huo huo msimu kwa msimu na ukikutana na Yanga ni kipigo tu msimu kwa msimu. Furaha yako ni sare
Yanga wana kitu kinaitwa Green Project. Fuatilia usome hiyo kitu utaelewa tu hata ukijitoa ufahamu na kujifanya mwendawazimu utaelewa tu[emoji1787] mipango ya kuhonga timu ziikamie simba? Au mipango ya kuwalipa wachambuzi wa michongo wa kuisifia uto kila kipindi? Takataka kabisa
Thamani ya Simba SC Tsh Bil 20. Kamwe Huwezi kufananisha jiwe na dhahabutwende kwa facts. naona umekimbilia Tanga
HahahahahaHela baba na mipango ya club iliyopo hayo mengine ni maneno tu . Kuna mchezaji kwenye ligi ya Bongo mwenye mafanikio kisoka kama Saido Ntibazonkiza? Ukimuuliza...
Green project ilianza lini?Yanga wana kitu kinaitwa Green Project. Fuatilia usome hiyo kitu utaelewa tu hata ukijitoa ufahamu na kujifanya mwendawazimu utaelewa tu
Hakuna cha green project wala blue huko utopoloni. Kwasasa simba ndio ndio mwongoza njia wa soka la kisasa na lenye mafanikio. Ni rollmodel wa club zote including utopolo kuanzia kwenye branding, scouting, investment, major titles competition, future plans abd everything you know.Yanga wana kitu kinaitwa Green Project. Fuatilia usome hiyo kitu utaelewa tu hata ukijitoa ufahamu na kujifanya mwendawazimu utaelewa tu
rollmodelHakuna cha green project wala blue huko utopoloni. Kwasasa simba ndio ndio mwongoza njia wa soka la kisasa na lenye mafanikio. Ni rollmodel wa club zote including utopolo kuanzia kwenye branding, scouting, investment, major titles competition, future plans abd everything you know...
Worevaaa ujumbe umefika. Kuna typo pia asante kwa kujali
Aucho si mlimtaka na mkamuleta?Saido kwenda Yanga inajulikana aliletwa na Kaze kama alivyoleta ndugu zake wengi walioshindwa ligi. Sasa kama mchezaji haitajiki Simba ataendaje? Huyo Senzo alikimbia baada ya bodi kutaka kumwajibisha. Taarifa zilitoka na hakuwahi kukanusha.
Hayupo mchezaji dunia hii akahitajika na Simba na Yanga halafu akaenda Yanga. Hayupo.
If is not about money is stupid is he 19 0r 21 yrs old. Can he play free or low wage so longer is plyaing to simba?[emoji3490]The last updates from my sources in Zambia firmly believe Moses Phiri is joining Simba Sports Club of Dar Es Salaam in the summer window
[emoji3490]As reported before, Phiri has a pre contract with the Reds of Kariakoo, his side also highly respect the agreements they entered and they are ready to comply with
[emoji3490]It's true Yanga jumped in to seal this deal, they gave the best offer for the Zanaco Captain but to the Player it's not about money but about success and better environment to work
[emoji3490]It's also believed the presence of his Zambian counterparts, the likes of Chama na Bwalya play a very crucial role for him to only consider Simba as the final destination
[emoji3490]As it stands, it's done and dusted that the Chipolopolo Man will arrive in Tanzania around July ahead of the summer camp probably in North Africa (Probably)
[emoji3490]IS MOSES PHIRI RED AND WHITE?? OOH YES HE IS, WHY NOT??
[emoji3490]IS HE READY FOR NBC PREMIER LEAGUE?? YES, WHY NOT??
[emoji3490]GONNA BE SCARY HOURS FOR OPPONENTS? YES, ABSOLUTELY
What a busy deadline day [emoji599]
Anaripoti jrfarhan [emoji1241]View attachment 2083139
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]wanatamani dirisha liwe wazi wasajili kila panaponekana gap
Ndivyo soka la Bongo lilivyo kuna muda unaweza kudhani kua timu yako ni mbovu kumbe tu ni upepo wa waandishi na wachambuzi wameamua kuifanya timu yako uione mbovuSimba wana gain confidence..wale wengine kule upande wa pili wameanza kukosa amani..ngoja waanze kudondosha point kwenye ligi uone watakavyopoteana..
Ulisikiliza alichokisema Khalid Aucho kwenye mahojiano yake na mwandishi wa habari wakati anajiunga Yanga? Alikiri hadharani awali alifuatwa na simba, lakini yeye akachagua kujiunga na Yanga waliomfuata baadaye.Saido kwenda Yanga inajulikana aliletwa na Kaze kama alivyoleta ndugu zake wengi walioshindwa ligi. Sasa kama mchezaji haitajiki Simba ataendaje? Huyo Senzo alikimbia baada ya bodi kutaka kumwajibisha. Taarifa zilitoka na hakuwahi kukanusha.
Hayupo mchezaji dunia hii akahitajika na Simba na Yanga halafu akaenda Yanga. Hayupo.
Hakuna kiongozi wa Simba aliyemfuata Aucho. Yanga walimpa maelekezo aseme hivyoUlisikiliza alichokisema Khalid Aucho kwenye mahojiano yake na mwandishi wa habari wakati anajiunga Yanga? Alikiri hadharani awali alifuatwa na simba, lakini yeye akachagua kujiunga na Yanga waliomfuata baadaye.
Wakati mwingine ni maamuzi tu ya mchezaji kupenda kuchezea timu fulani anayo ipenda, ukiondoa suala zima la maslahi! Na mambo mengine.
Ni mchezaji mwendawazimu tu anayekubali kusajiliwa timu ya mchangani (utopolo) akaacha timu kubwa zinazojulikana kimataifaSaido kwenda Yanga inajulikana aliletwa na Kaze kama alivyoleta ndugu zake wengi walioshindwa ligi. Sasa kama mchezaji haitajiki Simba ataendaje? Huyo Senzo alikimbia baada ya bodi kutaka kumwajibisha. Taarifa zilitoka na hakuwahi kukanusha.
Hayupo mchezaji dunia hii akahitajika na Simba na Yanga halafu akaenda Yanga. Hayupo.
SALUTE KWAKO NDUGU,ANAEPINGA HII HOJA NI HAMNAZO KAMA ALIVYOSEMA HAJI MANARAHakuna cha green project wala blue huko utopoloni. Kwasasa simba ndio ndio mwongoza njia wa soka la kisasa na lenye mafanikio. Ni rollmodel wa club zote including utopolo kuanzia kwenye branding, scouting, investment, major titles competition, future plans abd everything you know.
Yaani leo hii profile ya ssc ni kubwa afrika yote na sio limited kwa wakongo kama ilivo yanga. Fanya research, wachezaji wote wazuri walio timu nyingine tanzania (ukitoa wakongo na warundi ambao wanatoa sehemu ya mshahara wao ili kwa viongozii na makocha wapangwe) wote chaguo lao la kwanza ilikuwa ni simba ila wengi wanahofia ushindani wanaamua kwenda yanga. Huyo aucho na kipa wenu raia wa mali ni mifano michache tuu.
Halafu hiyo green project ya kwenye makaratasi imeishia kuzindua ubao wa matangazo tuu huko kigamboni. Labda ijikite kwenye kuzalisha wachezaji chipukizi kwa ajili ya kuwauza kama walivokuwa wanafanya mtibwa.
Malizeni kwanza figisu za yanga kampuni ndio muanze kufikiria mengine. Na GSM alibowashika pabaya mtamtangazia biashara zake halali na haramu mpk mpate akili.
Yaani mm naweka uzi masaa 6 yaliyopita mnautoa mnakuja kuunga ktk uzi uliowekwa lisaa limoja lililopita nyie Moderator vipi? Au ndio stress za 2025[emoji3490]The last updates from my sources in Zambia firmly believe Moses Phiri is joining Simba Sports Club of Dar Es Salaam in the summer window
[emoji3490]As reported before, Phiri has a pre contract with the Reds of Kariakoo, his side also highly respect the agreements they entered and they are ready to comply with
[emoji3490]It's true Yanga jumped in to seal this deal, they gave the best offer for the Zanaco Captain but to the Player it's not about money but about success and better environment to work
[emoji3490]It's also believed the presence of his Zambian counterparts, the likes of Chama na Bwalya play a very crucial role for him to only consider Simba as the final destination
[emoji3490]As it stands, it's done and dusted that the Chipolopolo Man will arrive in Tanzania around July ahead of the summer camp probably in North Africa (Probably)
[emoji3490]IS MOSES PHIRI RED AND WHITE?? OOH YES HE IS, WHY NOT??
[emoji3490]IS HE READY FOR NBC PREMIER LEAGUE?? YES, WHY NOT??
[emoji3490]GONNA BE SCARY HOURS FOR OPPONENTS? YES, ABSOLUTELY
What a busy deadline day [emoji599]
Anaripoti jrfarhan [emoji1241]View attachment 2083139
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💪💪💪💪Angalia usije kuaibika leo saa 10 jioni .... utaficha wapi sura yako ? Ngoja nipite kimyakimya