GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mtoa mada ana " mpenda" Moses Phiri hatari.Yaani kabisa GENTAMYCINE na wana Simba SC Wengine akina rodrick alexander na SAGAI GALGANO tukupiganie halafu Usisikike na Usifanikiwe au Usilishinde tatizo lako linalokukabili?
Sasa Phiri anacheza nina Furaha mno kwani ndiyo Mshambuliaji wangu bora kuliko Wote Kikosini Simba SC.
Lakini nawashangaa sana mnaopuuzia mchango wa Kibu Denis uwanjani. Yaani huwa nawaangalia tu, maybe watu wanakariri
Alivyoingia Phiri.Konde boy na Kanoute biriyani lilianza kuonekanaNimemsikia hapa kwenye kipenga xtra cha ea radio, le general ni muungwana, anashukuru kwa support na ameahidi kila mechi goli.. robertinho aelewe umuhimu wa kila mchezaji kuwa fit na tayari asimkariri kibu tu siku akiumia atacheza nan na wengine hawana match fitness?
Konde boy bado sana!! hajaanza kutulipa bado!! tunamdai bado!Alivyoingia Phiri.Konde boy na Kanoute biriyani lilianza kuonekana
Nazungumzia ule muunganiko was pasi, mpira uliokuwa ukichezwa no tofauti na walipokuwa kina Mzamiru butubutu., Saidoo akipata mpira no kutaka afunge na Kibu Dennis kukimbia na mpira bila kujua anataka Nini.Konde boy bado sana!! hajaanza kutulipa bado!! tunamdai bado!
Hakuna kitu kama hichoMkuu GENTAMYCINE hizi tetesi za kutaka kumtoa phiri kwa mkopo ni za kweli? Ebu tupe ukweli katika hili.
Hata kama Kibu Denis ana mchango wake hii haina maana kumuweka mchezaji mzuri benchi, kama hutaki kumtumia mchezaji MPE nafasi ya kwenda sehemu nyingine acheze.Lakini nawashangaa sana mnaopuuzia mchango wa Kibu Denis uwanjani. Yaani huwa nawaangalia tu, maybe watu wanakariri