Ni kujiongelea linalokuja kichwani,striker Bora Kwa sasa kwenye ligi ni Reliant Lusajo ana goli tano, mayele na phiri wana goli 3. Msimu uloisha aliongoza mpole. Nadhan ungekua sahihi Kwa kusema striker Bora ndani ya YangaNi mzuri ila tukipambanisha striker bora kwa sasa ndani ya NBC Premier League, hakuna mfano wa Mayele.
Jamaa muda wote anatabasamu.. naipenda combo ya chama, okrah na phiri.. inakuwa hatari sana pale mbele.Kuna hisia zinanijia kuwa chama na phiri huenda wanajambo lao kwa simba na wameamua kushirikiana kulikamilisha kimya kimya
Jana niliposikia sauti ya mtangazaji akitaja neno "mzambia" nikagutuka na kukumbuka kauli ya
"mpishi wa goli ni mzambia, aliyefanya mission acomplished ni mzambia"
Comment hii kama sikosei ilikuwa mechi dhidi ya geita gold
In summary, the silent killer kenerali mosses ni mnyama toka moyon mwake, akichukua mpira anatoa pas, anafungua na kuupokea kinachofuata ni saluti ya jenerali kisha tabasamu mwanana sana
Moses Phiri Hana tofauti na C. Magulu.. chukueni maneno yangu Phiri hafikii hata nusu ya Mayele, pale Simba tumepigwa walahi.. Kwa Huyu Mayele na Aziz key watani zetu wamelamba dumes.. Huyu Mayele ataendelea kutufunga mpaka achoke yeye na hizo beki zetu za Mbwembwe kina Inonga.
Ni mzuri ila tukipambanisha striker bora kwa sasa ndani ya NBC Premier League, hakuna mfano wa Mayele.
Ile nafasi anayocheza okwa kuna Chama aisee, ni ngumu kupata nafasPhili kapigana sana kuja Simba.
Ni kwamba anaipenda Simba sana na anafight sana kupata matokeo mazuri.
Mwingine mpya anayeipigania timu ni Okra.
Okwa ndio kwanza kanyoa rasta kutuambia sasa anataka kufanya kazi .
Ajaribu kucheza winga.Ile nafasi anayocheza okwa kuna Chama aisee, ni ngumu kupata nafas
Hakika, yule zoran alizingua kutompanga mechi ya ngao ya jamii.Jangwani watauonja moto wake October 23.
Kumleta mzambia mwenzake kwa ajili ya Chama lilikuwa bonge la idea. Nadhani hata nje ya uwanja, Chama na Phiri watakuwa wako karibu.Kuna hisia zinanijia kuwa chama na phiri huenda wanajambo lao kwa simba na wameamua kushirikiana kulikamilisha kimya kimya
Jana niliposikia sauti ya mtangazaji akitaja neno "mzambia" nikagutuka na kukumbuka kauli ya
"mpishi wa goli ni mzambia, aliyefanya mission acomplished ni mzambia"
Comment hii kama sikosei ilikuwa mechi dhidi ya geita gold
In summary, the silent killer kenerali mosses ni mnyama toka moyon mwake, akichukua mpira anatoa pas, anafungua na kuupokea kinachofuata ni saluti ya jenerali kisha tabasamu mwanana sana