Moses Phiri, the silent killer

Moses Phiri, the silent killer

Moja kati ya washambuliaji wasio na mbwembwe wala maneno mengi. Muonekano wa upole lakini killer haswa.

Anageuka, anakimbia, anatoa pasi na anakaa kwenye nafasi. Hasikiki sana wala hashangilii kwa makeke kama yule wa Congo lakini matokeo yanaonekana.

Kila lakheri kwake..
 
Moses Phiri Hana tofauti na C. Magulu.. chukueni maneno yangu Phiri hafikii hata nusu ya Mayele, pale Simba tumepigwa walahi.. Kwa Huyu Mayele na Aziz key watani zetu wamelamba dumes.. Huyu Mayele ataendelea kutufunga mpaka achoke yeye na hizo beki zetu za Mbwembwe kina Inonga.
 
Moses Phiri Hana tofauti na C. Magulu.. chukueni maneno yangu Phiri hafikii hata nusu ya Mayele, pale Simba tumepigwa walahi.. Kwa Huyu Mayele na Aziz key watani zetu wamelamba dumes.. Huyu Mayele ataendelea kutufunga mpaka achoke yeye na hizo beki zetu za Mbwembwe kina Inonga.
 
Moses Phiri Hana tofauti na C. Magulu.. chukueni maneno yangu Phiri hafikii hata nusu ya Mayele, pale Simba tumepigwa walahi.. Kwa Huyu Mayele na Aziz key watani zetu wamelamba dumes.. Huyu Mayele ataendelea kutufunga mpaka achoke yeye na hizo beki zetu za Mbwembwe kina Inonga.
Umemaliza kuharisha? Katawaze sasa usije kutuvimbisha matumbo kwa harufu ya kinyesi.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Moses Phiri Hana tofauti na C. Magulu.. chukueni maneno yangu Phiri hafikii hata nusu ya Mayele, pale Simba tumepigwa walahi.. Kwa Huyu Mayele na Aziz key watani zetu wamelamba dumes.. Huyu Mayele ataendelea kutufunga mpaka achoke yeye na hizo beki zetu za Mbwembwe kina Inonga.
Ww sio Simba tafuta timu yako
 
Nenda Chooni kwanza zen ujifunze mpira.Mugalu na Phiri hawafanani kwa lolote
Moses Phiri Hana tofauti na C. Magulu.. chukueni maneno yangu Phiri hafikii hata nusu ya Mayele, pale Simba tumepigwa walahi.. Kwa Huyu Mayele na Aziz key watani zetu wamelamba dumes.. Huyu Mayele ataendelea kutufunga mpaka achoke yeye na hizo beki zetu za Mbwembwe kina Inonga.
 
Ni mzuri ila tukipambanisha striker bora kwa sasa ndani ya NBC Premier League, hakuna mfano wa Mayele.
 
Kwa level za Simba Moses Phil ni Mkali, maana ukimuodoa yeye unabaki na Mzungu, Kibu na Kyombo.
Kwa forward iyo Zoran alitakiwa afike nusu fainal ya Caf, Mzee wa watu akaona isiwetabu aka amua atimue mbio.
 
Kuna hisia zinanijia kuwa chama na phiri huenda wanajambo lao kwa simba na wameamua kushirikiana kulikamilisha kimya kimya

Jana niliposikia sauti ya mtangazaji akitaja neno "mzambia" nikagutuka na kukumbuka kauli ya

"mpishi wa goli ni mzambia, aliyefanya mission acomplished ni mzambia"

Comment hii kama sikosei ilikuwa mechi dhidi ya geita gold

In summary, the silent killer kenerali mosses ni mnyama toka moyon mwake, akichukua mpira anatoa pas, anafungua na kuupokea kinachofuata ni saluti ya jenerali kisha tabasamu mwanana sana
 
Back
Top Bottom