Moshi ilikuwa Jamhuri kamili zamani kabla ya uhuru "chagga land" why ilisambaratika?

Moshi ilikuwa Jamhuri kamili zamani kabla ya uhuru "chagga land" why ilisambaratika?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Zamani kabla ya uhuru miaka ya 50 kulikua na nchi ya wachagga tena ilikua jamhuri kamili walikua wanamalizia tu taratibu kule UN iwe na mwakilishi kamili

kulingana na history walikua na rais aliyechaguliwa na wananchi makamu, mawaziri mpaka wa ustawi wa jamii na uchumi, na elimu

Walikua na viongozi wasomi wenye degree, masters mpaka phd shule, hosptal, na barabara nzuri za lami na umeme na maji yalikuwepo

Wakuu ninini kilifanya kusambaratika kwa hii jamhuri iliyokua mpaka na bendera yake?
 
Unazungumzia Moshi gani Na mwaka gani?

Nina chojua baada ya Uhuru tulitaka Kilimanjaro ijitegemee lkn nyerere alizingua
 
Haya sasa Dai kujitenga ,Napendekeza Raisi awe Makonda japo si wa huko mnisamehe.
 
Huu mnaofanya ni uhaini! Kisheria haitakiwi kabisa kuwa na malengo kama hayo; Nchi hii bado changa sana na watu kutoka pande zote ni bora! Hali kadharika maeneo yote ni muhimu sana kwa maslahi ya taifa hili! Hivyo ni vema kudumisha umoja wa kitaifa.
 
kama nchi ingekuwa zanzibar sio moshi.kila siku wanalia
 
Zamani kabla ya uhuru miaka ya 50 kulikua na nchi ya wachagga tena ilikua jamhuri kamili walikua wanamalizia tu taratibu kule UN iwe na mwakilishi kamili
.
.
kulingana na history walikua na rais aliyechaguliwa na wananchi makamu, mawaziri mpaka wa ustawi wa jamii na uchumi, na elimu
.
.
Walikua na viongozi wasomi wenye degree, masters mpaka phd shule, hosptal, na barabara nzuri za lami na umeme na maji yalikuwepo
.
.
Wakuu ninini kilifanya kusambaratika kwa hii jamhuri iliyokua mpaka na bendera yake?
Usijali cdm wanatupambania. Tutapata nchi yetu. Tutapata uhuru kamili
 
Zamani kabla ya uhuru miaka ya 50 kulikua na nchi ya wachagga tena ilikua jamhuri kamili walikua wanamalizia tu taratibu kule UN iwe na mwakilishi kamili

kulingana na history walikua na rais aliyechaguliwa na wananchi makamu, mawaziri mpaka wa ustawi wa jamii na uchumi, na elimu

Walikua na viongozi wasomi wenye degree, masters mpaka phd shule, hosptal, na barabara nzuri za lami na umeme na maji yalikuwepo

Wakuu ninini kilifanya kusambaratika kwa hii jamhuri iliyokua mpaka na bendera yake?
Acha kudanganya umma! Hiyo nchi ilikuwa wapi? Moshi ninapopajua unaweza kuendesha gari mwanzo hadi mwisho wa mji pande zote kwa muda usiozidi dakika 10, hiyo ni mwaka huu, je miaka ya 1960 palikuwaje? No, tusidanganyane, mji wa Moshi unaanzia pale Majengo unaishia Mto Karanga kama unafuata barabara ya Moshi-Arusha, dakika ngapi? Au ukitokea YMCA hadi stendi kuu hadi Mbuyuni mwisho wa mji, dakika ngapi? Hiyo ndiyo mnasema ilikuwa nchi? Nashangaa hata hadhi ya manispaa Moshi imepataje, mji una barabara mbili tu katikati ya mji, halafu ikifika jioni saa kumi na mbili panazima kama vile ni kuku wameshakimbilia mabandani! Ukitaka kufanya shopping Moshi unaenda wapi zaidi ya yale maduka ya zamani double road na pale sokoni, basi? Muachage kujikweza!
 
Huu mnaofanya ni uhaini! Kisheria haitakiwi kabisa kuwa na malengo kama hayo; Nchi hii bado changa sana na watu kutoka pande zote ni bora! Hali kadharika maeneo yote ni muhimu sana kwa maslahi ya taifa hili! Hivyo ni vema kudumisha umoja wa kitaifa.
Kula like mkuu
 
Acha kudanganya umma! Hiyo nchi ilikuwa wapi? Moshi ninapopajua unaweza kuendesha gari mwanzo hadi mwisho wa mji pande zote kwa muda usiozidi dakika 10, hiyo ni mwaka huu, je miaka ya 1960 palikuwaje? No, tusidanganyane, mji wa Moshi unaanzia pale Majengo unaishia Mto Karanga kama unafuata barabara ya Moshi-Arusha, dakika ngapi? Au ukitokea YMCA hadi stendi kuu hadi Mbuyuni mwisho wa mji, dakika ngapi? Hiyo ndiyo mnasema ilikuwa nchi? Nashangaa hata hadhi ya manispaa Moshi imepataje, mji una barabara mbili tu katikati ya mji, halafu ikifika jioni saa kumi na mbili panazima kama vile ni kuku wameshakimbilia mabandani! Ukitaka kufanya shopping Moshi unaenda wapi zaidi ya yale maduka ya zamani double road na pale sokoni, basi? Muachage kujikweza!
Pole sana mkuu, umepoteza muda wako kumjibu huyu mtoto. Kitu kinaitwa "u_mimi" au kujiona bora hua ni kibaya sana maana wakati kuna mikoa ina investments kubwa sana ambazo hazipo mkoa mwingine wowote ila watu wake ni watulivu sana. Zoea tu vijimada vya hawa watoto.
 
So what mtoto? Mbona hata watu wa ukara walitaka Uhuru wao pia? Chief Isike nayeye mbona alitaka vivyo hivyo? Maana yako ni ipi kijana mdogo?
 
Na mnavopenda UKABILA sijui ingekuaje....
Kwani hilo kabila lipo basi? Nimeishi Moshi muda mrefu nawajua wote! Nawakubali kuwa ni wachakarikaji katika ngazi ya mtu binafsi, lakini umoja ni ziro kabisa, hakuna. Hata unapowaona wamezagaa nchi nzima hizo ni jitihada binafsi zinazoletwa hasa na ushindani baina ya wao kwa wao, lakini ukiwakusanya kwenye kikundi hata cha watu watano tu lazima wagombane, kila mtu anataka faida yake binafsi!
 
unaweza kututajia idadi ya watu wenye phd na uprofesa wakati ikiwa nchi kamilia au haujui kulikuwa na utawala wa machifu
 
Muzungu aliyeanzisha Uchaga ndiye aliyegoma kuitambua kama nchi, hivyo kupelekea kusambaratika, isitoshe Wachaga wengine kama Rombo, Kibosho au hata Machame wasingekubali kutawaliwa na akina Mareale na Ulimwengu, hivyo kungekuwa na bloody civil war kama Rwanda/Burundi!
 
Acha kudanganya umma! Hiyo nchi ilikuwa wapi? Moshi ninapopajua unaweza kuendesha gari mwanzo hadi mwisho wa mji pande zote kwa muda usiozidi dakika 10, hiyo ni mwaka huu, je miaka ya 1960 palikuwaje? No, tusidanganyane, mji wa Moshi unaanzia pale Majengo unaishia Mto Karanga kama unafuata barabara ya Moshi-Arusha, dakika ngapi? Au ukitokea YMCA hadi stendi kuu hadi Mbuyuni mwisho wa mji, dakika ngapi? Hiyo ndiyo mnasema ilikuwa nchi? Nashangaa hata hadhi ya manispaa Moshi imepataje, mji una barabara mbili tu katikati ya mji, halafu ikifika jioni saa kumi na mbili panazima kama vile ni kuku wameshakimbilia mabandani! Ukitaka kufanya shopping Moshi unaenda wapi zaidi ya yale maduka ya zamani double road na pale sokoni, basi? Muachage kujikweza!
Funga bakuli, hupajui moshi wewe.
Sio kwamba natetea moshi kuwa/ ilikuwa nchi, naipenda Tz zaidi na ni mkazi wa moshi, mchaga, born in Dom.
Lakini information zako kuhusu udogo wa moshi, ati ten minutes umeimaliza moshi, ni uongo mtakatifu.
 
Funga bakuli, hupajui moshi wewe.
Sio kwamba natetea moshi kuwa/ ilikuwa nchi, naipenda Tz zaidi na ni mkazi wa moshi, mchaga, born in Dom.
Lakini information zako kuhusu udogo wa moshi, ati ten minutes umeimaliza moshi, ni uongo mtakatifu.
Mchaga wa Dom! Kwa hiyo unaijua Moshi. Hebu nawewe fungua basi bakuli utuambie Moshi ina ukubwa gani?
 
Back
Top Bottom