Muzungu aliyeanzisha Uchaga ndiye aliyegoma kuitambua kama nchi, hivyo kupelekea kusambaratika, isitoshe Wachaga wengine kama Rombo, Kibosho au hata Machame wasingekubali kutawaliwa na akina Mareale na Ulimwengu, hivyo kungekuwa na bloody civil war kama Rwanda/Burundi!