Moshi: International School of UWCEA yasitisha masomo Baada ya Wanafunzi 2 kupatwa na Corona

Watu wanakupa daily hata wakurugenzi Dodoma wanakufa na wapi ICU kibao ma boss wa serikali
 

Walipotangaza wakati ule kuwa ipo nini kiliharibika zaidi ya watu kuchukua tahadhari zaidi?
 

Ww ni mchumba tu kama wachumba wengine, na kama unajiamini jichanganye na mimi kisha uje mwenyewe uone kama kesho ndugu zako hawajamkia msibani. Rudi shule ukajifunze matumizi ya herufi kubwa, kenge mkubwa ww.
 
kwani kuchukua tahadhari ndo dawa ya Corona?.
Hao wanaokufa na.corona wao hawajui kuchukua tahadhari?
Walipotangaza wakati ule kuwa ipo nini kiliharibika zaidi ya watu kuchukua tahadhari zaidi?
 
Ww ni mchumba tu kama wachumba wengine, na kama unajiamini jichanganye na mimi kisha uje mwenyewe uone kama kesho ndugu zako hawajamkia msibani. Rudi shule ukajifunze matumizi ya herufi kubwa, kenge mkubwa ww.
ENDEREA KUBWABWAJA TU SI UNATUMIA ID FEKI NDIO UNAJIONA MJANJA SIKU UTAKAPOUMBULIKA NDIO UTAJUA MANUFAA YA KUSHUPAZA HIYO SHINGO. VIBARAKA KAMA NYIE HAMFAI KWA NCHI YETU TUNAYOIJENGA SASA HIVI. KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA WATU KAMA NYIE NI WAKUNYOOSHWA ILI AKILI IKAE SAWA.
 
Blessings, chief
 

Nimekuambia rudi shule ukajifunze matumizi ya herufi kubwa. Umeanza na vitisho vya kishamba sijui nimejificha kwenye Id fake na unaweza kunikamata. Nimekuambia usipate shida maana unaweza kunipata, ila njoo mwenyewe ili nione huo ubavu wako kama haijawa mwisho wako kula ugali we mchumba.
 
Kama ipo itaonekana tu yenyewe.
Shida nini?
Utangaze usitangaze watu watajua tu maana wagonjwa wangeongezeka na vifo pia.muda UTAONGEA Ila kwa sasa mnapiga ramli
Bali kutokutangaza ndio dawa ya Corona?
 
Kama ipo itaonekana tu yenyewe.
Shida nini?
Utangaze usitangaze watu watajua tu maana wagonjwa wangeongezeka na vifo pia.muda UTAONGEA Ila kwa sasa mnapiga ramli

Sijui hata unapinga nini na kutetea nini, maana kama ipo na watu watajua, ndio hapo hao wenye hiyo shule wameona na kusema. Tunashangaa nguvu kubwa kutumika kuficha jambo ambalo sio kosa la serikali bali tatizo la dunia nzima. Sasa kama mambo ambayo hayana hata sababu ya kufichwa yanafichwa, je ni mangapi yanafichwa?
 
Hao wenye shule wamepima kwa vipimo gani?.
 
Huyo mmiliki ajiandae na kesi ya uhujumu uchumi anatumika na mabeberu
 
huu ugonjwa sio wa kubishania sana kama upo au haupo. mtu binafsi ukimkamata ndo ataelewa kama upo au haupo. tuendelee kuchukua tahadhari na Mungu azidi kutulinda.
Tatizo wanaosema huu ugonjwa hakuna hawako sahihi ila pia wanaosema huu ugonjwa upo nao wanakosea pale wanapotia chumvi kuwa upo na watu wanakufa sana,hapo ndio wanawapa nguvu wanaosema hakuna corona maana kiukweli hakuna hiyo hali ya watu kufa sana kwa corona.
 
Ww dogo utakuwa ni bonge la dunya, unadhani ukinitishia kunibinya ndio kunaondoa ukweli wa hali halisi?
Mbona mnafikia pabaya ndugu zangu? Hii Tanzania sio ya kuambiana maneno kama haya.
 
Kuna wimbi la hofu juu ya Corona,watu wameanza kuchukua tahadhari wenyewe kwa kuanza kurejesha ndoo za kunawia nje ya majumba yao!

Kuna hospitali wauguzi wameanza kuvaa barakoa!

Kuna dalili ugonjwa huu umerejea kwa kasi!

Chukua tahadhari!
kabsa aise tena ya safari hii haicheleweshi jana mtu ulikuwa naye siku 2 baadae unaambiwa tulishamzika
 
Nafikiri wangesema hali zao ikoje because Corona ni ugonjwa kama mwingine. Mafua hayo.Hivi do you think kwamba Corona vaccine itasababisha Corona isitokee kabisa?
Magonjwa mengi yanadawa yake, wewe nani kakwambia hiyo dawa ni kukomesha kabsa na milele haitatokea corona
 
DAWA YAKO IMEKWIVA. JIANDAE USISEME NI CHUNGU HUWEZI KUMEZA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…