Mkuu walikuvua nguo usiku halafu wakakuacha hivi hivi tuu au hahahhaaMoshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha
Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa [emoji1374]
Nakumbuka kuna baa Moja ndogo tu hapo Msaranga ilivaamiwa na majambazi jioni, watu wawili walikula Risasi baada ya kubisha kutoa vitu, mzee mmoja alikufa hapo hapo! nakumbuka huyo mzee alikua ndo amestaafu karibuni alafu akaanza kumfundisha mke wake kuendesha Hilux yake kumbe ndio ilikuwa kwaheri Mwalimu...Moshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha
Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa [emoji1374]
Nilitaka kusikitika ila nimecheka kisenge kumbe alikuwa TICHA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka kuna baa Moja ndogo tu hapo Msaranga ilivaamiwa na majambazi jioni, watu wawili walikula Risasi baada ya kubisha kutoa vitu, mzee mmoja alikufa hapo hapo! nakumbuka huyo mzee alikua ndo amestaafu karibuni alafu akaanza kumfundisha mke wake kuendesha Hilux yake kumbe ndio ilikuwa kwaheri Mwalimu...
Obsesseion yako na walimu imezidi sasa wapi nimesema Mzee alikua Mwalimu au walimu ndo wastaafu tu 🤣🤣🤣Nilitaka kusikitika ila nimecheka kisenge kumbe alikuwa TICHA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wesema ukweli kwatabia zako walikuacha hivihivi[emoji51]Moshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha
Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa [emoji1374]
Hawakuniacha salama kaka maana walichukua simu yangu, saa yangu tena ilikuwa gharama kidogo nilinunua $500, na wallet yangu ilikuwa na pesa japo hata laki ilikuwa haifiki baada ya hapo wakasepawesema ukweli kwatabia zako walikuacha hivihivi[emoji51]
Kwa uelewa wako ..."kwa heri mwalimu"... anayeongelewa ni mwalimu?Nilitaka kusikitika ila nimecheka kisenge kumbe alikuwa TICHA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa ana uwezo mdogo sana wa kupambanua mamboKwa uelewa wako ..."kwa heri mwalimu"... anayeongelewa ni mwalimu?
😆😆 njoro ndio hatariMoshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha
Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa [emoji1374]
Labda lile ombi lake la kuwa demu mwenye makalio ya haja tu limeshakubaliwa.Jamaa ana uwezo mdogo sana wa kupambanua mambo
Ova.
Ashukuriwe Mungu walikuachia nguo, pasua ya sasa imepoa, njoro ndo Stori nyingiMoshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha
Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa