Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Mungu akubariki kaka [emoji1374]Labda lile ombi lake la kuwa demu mwenye makalio ya haja tu limeshakubaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akubariki kaka [emoji1374]Labda lile ombi lake la kuwa demu mwenye makalio ya haja tu limeshakubaliwa.
Huyo atakuwa kapiga cha Arusha chaliiii waaangu iseeeee!Kijana mmoja ajulikanae kwa jina la Emmanuel Alex, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28, amekutwa amefariki dunia shambani huku mwili wake ukiwa hauna nguo yoyote.
Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Orori kata ya Machame Mashariki, limezua taharuki miongoni mwa watu katika eneo hilo huku chanzo cha kifo kikiwa bado hakijajulikana.
Polisi walifika eneo la tukio na kuchukua mwili wa marehemu kwa ajili ya Uchunguzi zaidi.
Nimecheka mpaka basi, sasa wangezitaka hadi nguo sijui ungefikaje Dodoma Mpwayungu.Moshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha
Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa [emoji1374]
Apo sasaNimecheka mpaka basi, sasa wangezitaka hadi nguo sijui ungefikaje Dodoma Mwayungu.
Zamani bwana mnatuonea😆😆 njoro ndio hatari
Another victim of the "Biggest Tragedy"Moshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha
Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa [emoji1374]
Njoro kumjaa wahuni tupu na majiziZamani bwana mnatuonea
Mkuu aukuleta ule ubaunsa kama ulivyo wafanyia wale mabaunsa wa wauza uchi?Moshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha
Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa [emoji1374]
Kwamba tukio hili ni la Ajabu?Kijana mmoja ajulikanae kwa jina la Emmanuel Alex, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28, amekutwa amefariki dunia shambani huku mwili wake ukiwa hauna nguo yoyote.
Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Orori kata ya Machame Mashariki, limezua taharuki miongoni mwa watu katika eneo hilo huku chanzo cha kifo kikiwa bado hakijajulikana.
Polisi walifika eneo la tukio na kuchukua mwili wa marehemu kwa ajili ya Uchunguzi zaidi.
Je, una uelewa wowote ule (basic knowledge) kuhuau masuala ya CRIMINOLOGY au Criminal Intelligence??Kwamba tukio hili ni la Ajabu?
Katika vitabu vikuu kumeandikwa kuwa(imetolewa ahadi) tutazaliwa na tutakufa na katika maisha yangu sijawahi kusikia mtu au mtoto kazaliwa na nguo! Nini cha ajabu kukutwa mtu amekufa akiwa hana nguo?
(its a rhetoric question)
Ninachotaka kusema ni kwamba tunapopeana taarifa hatuna ulazima wa kuyakuza maneno, hasa linapokuja suala la kupeana taarifa ya msiba.
Poleni wafiwa wote.
R.I.P Emmanuel Alex, ulikuja kwa Udongo umekwenda kwa Udongo.
Toa shahidi zaidi ya hyo ulovuliwa nguoMoshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha
Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa [emoji1374]
Wale wa bar ni machoko tu ila hawa wa moshi kwanza ni miraba minne hayana bandama brooooMkuu aukuleta ule ubaunsa kama ulivyo wafanyia wale mabaunsa wa wauza uchi?
Teacher mpyayungu unavyowasagia walimu wenzako kama vile we ni waziri au mkurugenzi flan hivi.Kwahiyo kifo Kwa walimu wenzako kwako kicheko.Nilitaka kusikitika ila nimecheka kisenge kumbe alikuwa TICHA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa anafake life hadi anaboa,kwanini kila uchao anawasagia kunguni walimu?Teacher mpyayungu unavyowasagia walimu wenzako kama vile we ni waziri au mkurugenzi flan hivi.Kwahiyo kifo Kwa walimu wenzako kwako kicheko.
Hapana, ila nitashukuru ukinielewesha. Inasemaje, kwamba ukikutwa umekufa bila nguo ina maana gani?Je, una uelewa wowote ule (basic knowledge) kuhuau masuala ya CRIMINOLOGY au Criminal Intelligence??
Saana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Teacher mpyayungu unavyowasagia walimu wenzako kama vile we ni waziri au mkurugenzi flan hivi.Kwahiyo kifo Kwa walimu wenzako kwako kicheko.