Moshi: Kijana akutwa amefariki dunia shambani huku mwili wake ukiwa hauna nguo

Huyo atakuwa kapiga cha Arusha chaliiii waaangu iseeeee!
 
Moshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha

Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa [emoji1374]
Nimecheka mpaka basi, sasa wangezitaka hadi nguo sijui ungefikaje Dodoma Mpwayungu.
 
Moshi ndo mji pekee wenye majambazi sugu mahuligani na walevi wakutosha

Sitasahau siku majambazi yalinivaa mitaa ya PASUA yalikuwa manene marefu afu panga ndefu kama ulimi wa twiga.. Nilibak na nguo tu nilizovaa [emoji1374]
Mkuu aukuleta ule ubaunsa kama ulivyo wafanyia wale mabaunsa wa wauza uchi?
 
Kwamba tukio hili ni la Ajabu?
Katika vitabu vikuu kumeandikwa kuwa(imetolewa ahadi) tutazaliwa na tutakufa na hakuna sehemu inayosema utazaliwa na nguo au lah, na katika maisha yangu sijawahi kusikia mtu au mtoto kazaliwa na nguo! Nini cha ajabu kukutwa mtu amekufa akiwa hana nguo?
(its a rhetoric question)

Ninachotaka kusema ni kwamba tunapopeana taarifa hatuna ulazima wa kuyakuza maneno, hasa linapokuja suala la kupeana taarifa ya msiba.

Poleni wafiwa wote.
R.I.P Emmanuel Alex, ulikuja kwa Udongo umekwenda kwa Udongo.
 
Je, una uelewa wowote ule (basic knowledge) kuhuau masuala ya CRIMINOLOGY au Criminal Intelligence??
 
Teacher mpyayungu unavyowasagia walimu wenzako kama vile we ni waziri au mkurugenzi flan hivi.Kwahiyo kifo Kwa walimu wenzako kwako kicheko.
Jamaa anafake life hadi anaboa,kwanini kila uchao anawasagia kunguni walimu?
Sio fear hata kidogo mana sote hapa tumepita mikononi mwao.
Inasikitisha kiukweli ona sasa anacheka eti alidhani mwalimu amedanja sio poa man mimi nina ndugu walimu so hata kama kipato kidogo lakin sio kuwapopoa kila Mara unajishushia heshima.
 
Je, una uelewa wowote ule (basic knowledge) kuhuau masuala ya CRIMINOLOGY au Criminal Intelligence??
Hapana, ila nitashukuru ukinielewesha. Inasemaje, kwamba ukikutwa umekufa bila nguo ina maana gani?

Naelewa unakuja kwa udongo na unaondoka kwa udongo, hakuna anaezaliwa akiwa amevaa nguo na hakuna ajabu yeyote ile mtu akifa akiwa uchi!

Poleni wafiwa.

R.I.P Emmanuel Alex


.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…