Gaidi wa kwanza Tanzania ni mwislamu?Mkristo huyo hawezi kuwa gaidi
SijuiGaidi wa kwanza Tanzania ni mwislamu?
BalaaaaaMh siyo wote
Ova
Du mrangi huyu mlipa kodi mwenzangu amepewa nzito na iyo tofari,nahisi kakata moto .Mh siyo wote
Ova
Hahaha huyo mama ni zaidi ya roho mbayaDu mrangi huyu mlipa kodi mwenzangu amepewa nzito na iyo tofari,nahisi kakata moto .
Mwana mama kaamua kuunguza plagi kabisa,ngoja apambane na wakulungwa
Tafute mume asiyekunyanyasaWanawake tunanyanyaswa jamanii daaah[emoji848][emoji22][emoji24]
Huoni?ndo uthibitisho?
Mmezidi unyonge 🥸Wanawake tunanyanyaswa jamanii daaah[emoji848][emoji22][emoji24]
HeheheMmezidi unyonge 🥸
vyuo vya karate vipo kibao hapo mjini kwenu dar es salaam na duka la mzinga lipo hapo [emoji3187][emoji3603][emoji3187][emoji3603]
Acha uoga mafunzo ya kujihami muhimu wewee na lazima ujue kutumia na visu na fimbo yaani jino kwa jino .. zoezi la kwanza msamba kama Van DameHehehe
Unataka kunifundisha ununda wewe!