Augu_Rider
Member
- Oct 15, 2022
- 52
- 90
Kama mada inavyojieleza wakuu nilinunua gar mkonon baad ya miez ikaanza kutoa moshi na oil nilibadili xxa nikaamua kushusha Engine nzimaa kwa fundi maiko ikatulia gari Ikawa nyepes ulaji wa mafuta ukabadilika ikawa inanusa tuu sas shida asubuh nikiamkaa unatok km mvuke flan iv wa Moshi then engine ikichemka unakata wenyew siuoni tena.
Je, shida ni nni ushauri tafadhali
Je, shida ni nni ushauri tafadhali