Moshi: Majeneza yaadimika

Moshi: Majeneza yaadimika

Na Mary Mosha, MOSHI
HUDUMA za mazishi na uuzaji wa majeneza kwenye Mji wa Moshi zimetajwa kuongezeka katika siku za karibuni.

Kutokana na ongezeko hilo, baadhi ya watoa huduma wameiomba serikali kuona namna ya kuwasaidia wasilipe kodi na tozo mbalimbali kwa kuzingatia wanatoa huduma na sio biashara.

Wakizungumza na Nipashe kwa nyakati tofauti mjini hapa, baadhi ya watoa huduma hao, akiwamo France Temba wa Mtaa wa KCMC, walisema kwa sasa majeneza yamekuwa yakitoka kwa wingi kiasi cha kuwalazimu kufanya kazi mchana na usiku. "Kwa hapa kwetu majeneza yanaanzia Sh. 150,000 hadi 1,000,000.

Kwa sasa yanachukuliwa sana, yaani kwa siku yanatoka matano mpaka tisa hasa ya kuanzia Sh. 400,000 kurudi chini wakati huko nyuma yalikuwa yakitoka mawili hadi matatu kwa wiki. "Hii ina maana kwamba watu wanakwenda (wanafariki dunia) na ni wale wa hali za maisha ya kawaida," alibainisha.

Mtoa huduma huyo alisema upatikanaji wa malighafi, ikiwamo mbao, rangi na urembo, umekuwa mgumu, hivyo wanaomba serikali ifikirie kuwapunguzia gharama.

Elinasari Nkyini alisema: "Sisi hutengeneza majeneza usiku na mchana, tumeongeza vijana wa kazi, kuna siku watu wanakuja wanane hadi 14 wakitaka majeneza ya kesho yake na siku mbili mbeleni, hivyo inatulazimu ku-hakikisha huduma inapatikana lakini tunakabilica na matatizo mengi kwa sasa ikiwamo upati-kanaji wa malighafi."

Mkurugenzi mwenza wa kampuni ya huduma za mazishi ya Godmark, Lucas Gondwe, alisema kwa takribani miezi miwili sasa, biashara imebadilika ghafla na uhitaji umekuwa mkubwa tofauti na kipindi cha nyuma. Alisema kwa sasa wanatoa majeneza matatu hadi manne kwa siku, ambapo awali walikuwa wanatoa idadi hiyo kwa wiki. "Katika kampuni yetu tunatoa huduma hiyo kwa gharama za kuanzia Sh. 400,000 hadi 4,000,000, inategemea na ubora na malighafi zilizotumika. "Kwa sasa ipo haja serikali kuona namna ya kuwasaidia watoa huduma za mazishi nchini ili watoe huduma bora kwa kwa wahitaji. "Kwa sasa tunachajivva kodi kubwa, malighafi zimekuwa ghali, ulipaji wa pango, leseni za biashara, watu huja hapa bila pesa na tunalazimika kuwapa huduma baada ya mazishi walete hela, cha ajabu wengine hata simu hawapokei tena," alisema.

Baadhi ya wananchi waliokuwa wakipatiwa huduma ya majeneza katika barabara ya KCMC, akiwamo Faustina Kimario, walisema kwa sasa huduma ya majeneza imekuwa ngumu kuipata. "Sisi tuliweka oda ya jeneza la kumzika ndugu yetu juzi lakini tumefika hapa leo bado halijaandaliwa na tumelazimika kuahirisha shughuli yetu hadi Jumamosi, tumezunguka kutafuta hakuna yaliyopo tayari, Serikali iangalie suala hili. "Kwa sasa ukipatwa na msiba, kabla ya kwenda kutafuta viongozi wa dini na kukaa kikao cha familia, inabidi uende kwanza kutafuta jeneza, inasikitisha inahuzunisha, tunapoelekea watu wanaweza kuzikwa bila majeneza," alisema Zawad Mlay.

Pia unaweza kupitia, hali ilivyokuwa 2018👇
Pole kwa walioguswa na kuondokewa na wapendwa wao. Binafsi ninajifunza jambo hapa hasa kuhusu utamaduni. Kumbe kuna wakati utamaduni unaathirika kutoka na changamoto za kidunia. Mfano, hili suala la kuzikana kwa majeneza, kumbe mbao zinaweza kuadimika hadi mkaanza utaratibu mwingine. Niliona kule India pia, wale wanaochomwa, kuni ziliadimika.

Tuchukue tahadhari, koLona ipo
 
Sidhani Kama Upo Sahihi Kwa Kauli Yako,Mungu Akusamehe.
Hivi unajua hapo Afrika kusini walipiga marufuku hiyo kitu ili kuongeza kinga za watu wao dhidi ya maradhi? Kuna uhusiano wa wazi kati ya unywaji pombe na kinga ya mwili.
 
Na Mary Mosha, MOSHI
HUDUMA za mazishi na uuzaji wa majeneza kwenye Mji wa Moshi zimetajwa kuongezeka katika siku za karibuni.

Kutokana na ongezeko hilo, baadhi ya watoa huduma wameiomba serikali kuona namna ya kuwasaidia wasilipe kodi na tozo mbalimbali kwa kuzingatia wanatoa huduma na sio biashara.

Wakizungumza na Nipashe kwa nyakati tofauti mjini hapa, baadhi ya watoa huduma hao, akiwamo France Temba wa Mtaa wa KCMC, walisema kwa sasa majeneza yamekuwa yakitoka kwa wingi kiasi cha kuwalazimu kufanya kazi mchana na usiku. "Kwa hapa kwetu majeneza yanaanzia Sh. 150,000 hadi 1,000,000.

Kwa sasa yanachukuliwa sana, yaani kwa siku yanatoka matano mpaka tisa hasa ya kuanzia Sh. 400,000 kurudi chini wakati huko nyuma yalikuwa yakitoka mawili hadi matatu kwa wiki. "Hii ina maana kwamba watu wanakwenda (wanafariki dunia) na ni wale wa hali za maisha ya kawaida," alibainisha.

Mtoa huduma huyo alisema upatikanaji wa malighafi, ikiwamo mbao, rangi na urembo, umekuwa mgumu, hivyo wanaomba serikali ifikirie kuwapunguzia gharama.

Elinasari Nkyini alisema: "Sisi hutengeneza majeneza usiku na mchana, tumeongeza vijana wa kazi, kuna siku watu wanakuja wanane hadi 14 wakitaka majeneza ya kesho yake na siku mbili mbeleni, hivyo inatulazimu ku-hakikisha huduma inapatikana lakini tunakabilica na matatizo mengi kwa sasa ikiwamo upati-kanaji wa malighafi."

Mkurugenzi mwenza wa kampuni ya huduma za mazishi ya Godmark, Lucas Gondwe, alisema kwa takribani miezi miwili sasa, biashara imebadilika ghafla na uhitaji umekuwa mkubwa tofauti na kipindi cha nyuma. Alisema kwa sasa wanatoa majeneza matatu hadi manne kwa siku, ambapo awali walikuwa wanatoa idadi hiyo kwa wiki. "Katika kampuni yetu tunatoa huduma hiyo kwa gharama za kuanzia Sh. 400,000 hadi 4,000,000, inategemea na ubora na malighafi zilizotumika. "Kwa sasa ipo haja serikali kuona namna ya kuwasaidia watoa huduma za mazishi nchini ili watoe huduma bora kwa kwa wahitaji. "Kwa sasa tunachajivva kodi kubwa, malighafi zimekuwa ghali, ulipaji wa pango, leseni za biashara, watu huja hapa bila pesa na tunalazimika kuwapa huduma baada ya mazishi walete hela, cha ajabu wengine hata simu hawapokei tena," alisema.

Baadhi ya wananchi waliokuwa wakipatiwa huduma ya majeneza katika barabara ya KCMC, akiwamo Faustina Kimario, walisema kwa sasa huduma ya majeneza imekuwa ngumu kuipata. "Sisi tuliweka oda ya jeneza la kumzika ndugu yetu juzi lakini tumefika hapa leo bado halijaandaliwa na tumelazimika kuahirisha shughuli yetu hadi Jumamosi, tumezunguka kutafuta hakuna yaliyopo tayari, Serikali iangalie suala hili. "Kwa sasa ukipatwa na msiba, kabla ya kwenda kutafuta viongozi wa dini na kukaa kikao cha familia, inabidi uende kwanza kutafuta jeneza, inasikitisha inahuzunisha, tunapoelekea watu wanaweza kuzikwa bila majeneza," alisema Zawad Mlay.

Pia unaweza kupitia, hali ilivyokuwa 2018👇

Hapo chini ni wale wenye zile takwimu za ule ugonjwa:

IMG_20210718_063455_991.jpg


Wametulizana.
 
Halafu hapa hapa kuna wapumbavu utasikia wanatamba: walisema tutakufa na korona kwa wingi, kiko wapi?
Kwanini Moshi maana nchi nzima watu wamejiachi kama huko moshi na watu wanaingia na kutoka huko moshi sasa iweje tuwe tunazungumzia wingi wa vifo hadi kuwe na ongezeko la majeneza huko moshi na si nchi nzima hasa ukizingatia ni tokea mwaka jana huu ugonjwa umeingia nchini?
 
Imagine hao wauza majeneza hao wawe wanaroga ili biashara itoke,
Nimewaza tu!
 

Waziri Mkuu tem​

Na Mary Mosha, MOSHI
HUDUMA za mazishi na uuzaji wa majeneza kwenye Mji wa Moshi zimetajwa kuongezeka katika siku za karibuni.

Kutokana na ongezeko hilo, baadhi ya watoa huduma wameiomba serikali kuona namna ya kuwasaidia wasilipe kodi na tozo mbalimbali kwa kuzingatia wanatoa huduma na sio biashara.

Wakizungumza na Nipashe kwa nyakati tofauti mjini hapa, baadhi ya watoa huduma hao, akiwamo France Temba wa Mtaa wa KCMC, walisema kwa sasa majeneza yamekuwa yakitoka kwa wingi kiasi cha kuwalazimu kufanya kazi mchana na usiku. "Kwa hapa kwetu majeneza yanaanzia Sh. 150,000 hadi 1,000,000.

Kwa sasa yanachukuliwa sana, yaani kwa siku yanatoka matano mpaka tisa hasa ya kuanzia Sh. 400,000 kurudi chini wakati huko nyuma yalikuwa yakitoka mawili hadi matatu kwa wiki. "Hii ina maana kwamba watu wanakwenda (wanafariki dunia) na ni wale wa hali za maisha ya kawaida," alibainisha.

Mtoa huduma huyo alisema upatikanaji wa malighafi, ikiwamo mbao, rangi na urembo, umekuwa mgumu, hivyo wanaomba serikali ifikirie kuwapunguzia gharama.

Elinasari Nkyini alisema: "Sisi hutengeneza majeneza usiku na mchana, tumeongeza vijana wa kazi, kuna siku watu wanakuja wanane hadi 14 wakitaka majeneza ya kesho yake na siku mbili mbeleni, hivyo inatulazimu ku-hakikisha huduma inapatikana lakini tunakabilica na matatizo mengi kwa sasa ikiwamo upati-kanaji wa malighafi."

Mkurugenzi mwenza wa kampuni ya huduma za mazishi ya Godmark, Lucas Gondwe, alisema kwa takribani miezi miwili sasa, biashara imebadilika ghafla na uhitaji umekuwa mkubwa tofauti na kipindi cha nyuma. Alisema kwa sasa wanatoa majeneza matatu hadi manne kwa siku, ambapo awali walikuwa wanatoa idadi hiyo kwa wiki. "Katika kampuni yetu tunatoa huduma hiyo kwa gharama za kuanzia Sh. 400,000 hadi 4,000,000, inategemea na ubora na malighafi zilizotumika. "Kwa sasa ipo haja serikali kuona namna ya kuwasaidia watoa huduma za mazishi nchini ili watoe huduma bora kwa kwa wahitaji. "Kwa sasa tunachajivva kodi kubwa, malighafi zimekuwa ghali, ulipaji wa pango, leseni za biashara, watu huja hapa bila pesa na tunalazimika kuwapa huduma baada ya mazishi walete hela, cha ajabu wengine hata simu hawapokei tena," alisema.

Baadhi ya wananchi waliokuwa wakipatiwa huduma ya majeneza katika barabara ya KCMC, akiwamo Faustina Kimario, walisema kwa sasa huduma ya majeneza imekuwa ngumu kuipata. "Sisi tuliweka oda ya jeneza la kumzika ndugu yetu juzi lakini tumefika hapa leo bado halijaandaliwa na tumelazimika kuahirisha shughuli yetu hadi Jumamosi, tumezunguka kutafuta hakuna yaliyopo tayari, Serikali iangalie suala hili. "Kwa sasa ukipatwa na msiba, kabla ya kwenda kutafuta viongozi wa dini na kukaa kikao cha familia, inabidi uende kwanza kutafuta jeneza, inasikitisha inahuzunisha, tunapoelekea watu wanaweza kuzikwa bila majeneza," alisema Zawad Mlay.

Pia unaweza kupitia, hali ilivyokuwa 2018👇

Waziri mkuu tembelea mortuary za Hospitali za KCMC na Mawenzi Mkoa wa Kilimanjaro kuna Jambo muhimu​

 

Waziri Mkuu tem​



Waxiri mkuu tembelea mortuary za Hospitali za KCMC na Mawenzi Mkoa wa Kilimanjaro kuna Jambo muhimu​


Hao wanataka kodi, tozo, mikopo na misaada.

Matumbo yao kwanza. Hawana ubinadamu bali ni ubinafsi mtindo mmoja!

Vifo vya watu viwahusu wao nini?
 
Kumbe unajua hivyo halafu ukatoa hoja ya kijinga kwenye post ya kwanza?
Kiswahili tu kimempiga chenga alikuwa na nia njema tu!
Nilivyo muelewa ni kwamba wanakosa kujikinga kutokana na ulevi!
Mlevi akishalewe hana tahadhari ya corona!
 
Moshi tatizo utamaduni ndio shida,vipi Wilaya nyingine hali ni mbaya au kawaida?
Mz!!!! Hali
Ni mawazo tu naeza kuwa sahihi ama nkawa sio sahihi ni mtazamo tu.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Kama ni mawazo nami nikupe ya kwangu! Moshi,na miji kama Mwanza imeathiriwa na wageni kuingia hasa kutokea nchi jirani???
Tulizembea kufunga mipaka kwa imani potofu hasa awamu iliyopita??
Wakati Kule India hii delta variant imechachamaa tulieendelea kuruhusu wahindi kuingia watakavyo nchini,.
Aidha hadi leo badoe watalii wanaingia na kuzagaa mikoa ya Kaskazini bila kizuizi cha maana. Nimeishi baadhi ya mikoa ya kusini na kati,pombe inanyweka sana hasa vijijini,lakini haya hayapo.
Pia ujue baadhi ya miji kama Moshi ina wasafiri wengi wanaoingia na kutoka kwa masuala ya kibiashara tofauti na miji mingine.
Aidha kwa taarifa nilizonazo japo Sina uhakika zaidi ya nusu ya mazishi ni ya miili inayopelekwa Moshi kutoka sehemu mbalimbali. Watu wa Moshi wengi wamezagaa kuishi mikoa mingine na ni mwiko kuzikwa pengine nje ya Moshi. Huku tuliko tunao kibao,na litokeapo janga lazima wakazike makwao.
 
Mh . Samia suluhu Hassan ni kipindi sasa cha kutembelea mkoa wa Kilimanjaro Kwa ajili ya kukagua uhai wa Chama na kuzindua miradi ikiwemo ujenzi mkubwa wa upanuzi wa Hospital ya Rufaa ya KCMC na Mawenzi.
 
Back
Top Bottom