Moshi Manispaa: Mwalimu wa kawaida ambae hana cheo hajapata kishikwambi. Manung’uniko yayawala

shida ya walimu ni watu wa kulia sana unalipwa mshahara ml 1 ushindwe kununua kitu cha laki 3?
 
 
Kuisaidia serikali na idara ya elimu msingi na sekondari yafuatayo yafanyike :-
1. Afisaelimu msingi na sekondari wahamishwe haraka iwezekanavyo
2. Maafisaelimu taaluma wote msingi na sekondari wahamishwe
3. Wote wasimamishwe kazi kupisha uchunguzi
4. Takukuru mkoa wa arusha wapige kambi moshi manispaa kwani Takukuru mkoa wa kilimanjaro hawahusiki na rushwa nao ni walamba asali huko huko kunakolalamikiwa.
 
Wanyonge wa nchi hawawezi hata lalamika? au kufundisha ni laana .huruma sana Kwa walimu wetu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…