Moshi: Mfanyabiashara aua kwa bastola Himo

Moshi: Mfanyabiashara aua kwa bastola Himo

Samaleko wana jukwaaa! Ni habari iliyozua gumzo katika mji mdogo wa Himo mkaoni Kilimanjaro.

====
Ni mauaji yaliyotikisa mji wa kibiashara wa Himo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, baada ya mfanyabiashara mashuhuri katika mji huo, Kennedy Minja (47) kudaiwa kumfyatulia risasi na kumuua papo hapo, mkazi wa Kilema, Deogratius Lyimo.

Baada ya tukio hilo, inaelezwa mfanyabiashara huyo aliendesha gari lake umbali wa kilomita 27 kutoka mji wa Himo hadi Moshi mjini ambako inadaiwa alijisalimisha kituo kikuu cha Polisi na hadi leo ana siku 18 anashikiliwa polisi.

Ni tukio lilitikisa mji huo kutokana na umaarufu wa mfanyabiashara huyo wa mazao na namna mauaji hayo yanavyodaiwa kutokea, yakihusishwa na mzozo wa dakika chache baina yake na marehemu.

Wananchi wa mji huo hawaelewi kiini hasa cha mauaji, kama kweli ni baada ya tajiri huyo kuwakosakosa kuwagonga marehemu na ndugu yake waliokuwa na pikipiki au la.

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limethibitisha kumshikilia mfanyabiashara huyo pamoja na bastola anayodaiwa kuitumia katika mauaji hayo na huenda akafikishwa mahakamani wakati wowote kuanzia leo kwa tuhuma za mauaji.

Alipoulizwa jana kuhusu ni lini mfanyabiashara huyo anatarajiwa kufikishwa mahakamani, Kaimu Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Yahaya Mdogo alisema: "Jalada limeshapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka wa Serikali, ila nafuatilia kujua ni lini atafikishwa mahakamani, huku kukiwa na taarifa huenda akafikishwa mahakamani kesho.

Awali Kamanda wa polisi mkoani hapa, Simon Maigwa alisema tukio hilo lilitokea saa 4:30 usiku wa kuamkia Mei 17, 2023 katika Barabara ya Himo-Marangu ambako mfanyabiashara huyo anadaiwa kumuua Lyimo.

Aliyeshuhudia afunguka
Richard Mahoo, aliyekuwa amempakia Deogratius, wakitokea Himo kuelekea Kilema alidai walipofika karibu na ofisi ya mbunge wa Vunjo, mfanyabiashara huyo aliingia barabarani bila tahadhari na kutaka kuwagonga na gari lake.

Mahoo alidai kitendo kile kilisababisha Deogratius kushuka kwenye pikipiki na kumfuata na kumuuliza kwa nini anataka kuwagonga, lakini mtuhumiwa alishuka kwenye gari na kutamka maneno kuwa, “nyie mlikuwa mnatakaje”. “Kauli ile ilimkera marehemu na kuanza kushikana na kuanza kupigana. Wakati huo mimi nilikuwa naegesha pikipiki vizuri ili niwafuate, kitendo cha mimi kushuka kwenye pikipiki nikasikia mlio wa bastola, nikachanganyikiwa na kukimbia,"alidai.

Aliongeza: "Nilikimbia kama hatua 200 ndipo nikasimama na kuangalia nini kinaendelea, huyo mwenye gari akapiga tena risasi nyingine kunielekezea mimi, lakini haikunipata, ndipo akawasha gari na kukimbia," alidai Mahoo.

Kwa mujibu wa shuhuda huyo, baada ya milio hiyo ya risasi watu walijitokeza na kumchukua marehemu na kumpeleka Hospitali ya Faraja Himo na walipomfikisha waliambiwa ameshafariki dunia.

Kwa upande wa baba mkubwa wa marehemu, Isaack Lyimo alisema kijana wake alitokea kwenye msiba wilayani Siha akiwa na rafiki yake na walipofika Himo, walichukua pikipiki ya huyo rafiki yake kwa ajili ya kuelekea nyumbani Kijiji cha Kyou, Kilema.

Mzazi huyo alidai walipofika jirani na ofisi ya mbunge wa Vunjo kulitokea kuzozana kati ya mfanyabiashara huyo na mtoto wake baada ya mfanyabiashara huyo kuingia barabarani bila tahadhari na kutaka kuwagonga.

Kulingana na maelezo aliyopewa, katika mabishano hayo walifikia hatua ya kutaka kupigana, ndipo mfanyabiashara huyo inadaiwa alikwenda kwenye gari na kuchukua bastola na kumfyatulia risasi mtoto wake na kumuua papo hapo.

Mwananchi
Huu ushuhuda wa Richard Mahoo unayo mashaka lukuki kuhusu sababu ya mtuhumiwa kumpiga Marehemu risasi.

1. Ni mara chache sana mtu kushuka (hasa bodaboda) ili amuhoji dereva wa gari kuhusu sababu za kuendesha gari vibaya kulikohatarisha maisha yao. Mara nyingi bodaboda hufoka na muda mwingine hutoa ishara ya matusi huku akiongeza mwendo wa pikipiki.

2. Haiji akilini kuwa mtuhumiwa alikuwa akizozana na Deogratius, abiria aliyeshuka kwenye pikipiki na baada ya kumpiga risasi akimfyatulia Richard Mahoo ambaye hakuwa kwenye mzozo. Hii inaonesha kuwa Deogratius na Richard Mahoo walikuwa na mission waliyokuwa wakiitekeleza dhidi ya mtuhumiwa iliyopelekea mtuhumiwa kujihami kwa silaha.

3. Saa kumi na nusu usiku bodaboda hawezi kushuka kwenye pikipiki ili ahojiane na mtu asiyemjua. Hii inaashiria uwepo wa jaribio la uhalifu lillilozimwa na bastola ya mtu aliyelengwa kufanyiwa uhalifu huo.

(NI MAWAZO YANGU).
 
Samaleko wana jukwaaa! Ni habari iliyozua gumzo katika mji mdogo wa Himo mkaoni Kilimanjaro.

====
Ni mauaji yaliyotikisa mji wa kibiashara wa Himo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, baada ya mfanyabiashara mashuhuri katika mji huo, Kennedy Minja (47) kudaiwa kumfyatulia risasi na kumuua papo hapo, mkazi wa Kilema, Deogratius Lyimo.

Baada ya tukio hilo, inaelezwa mfanyabiashara huyo aliendesha gari lake umbali wa kilomita 27 kutoka mji wa Himo hadi Moshi mjini ambako inadaiwa alijisalimisha kituo kikuu cha Polisi na hadi leo ana siku 18 anashikiliwa polisi.

Ni tukio lilitikisa mji huo kutokana na umaarufu wa mfanyabiashara huyo wa mazao na namna mauaji hayo yanavyodaiwa kutokea, yakihusishwa na mzozo wa dakika chache baina yake na marehemu.

Wananchi wa mji huo hawaelewi kiini hasa cha mauaji, kama kweli ni baada ya tajiri huyo kuwakosakosa kuwagonga marehemu na ndugu yake waliokuwa na pikipiki au la.

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limethibitisha kumshikilia mfanyabiashara huyo pamoja na bastola anayodaiwa kuitumia katika mauaji hayo na huenda akafikishwa mahakamani wakati wowote kuanzia leo kwa tuhuma za mauaji.

Alipoulizwa jana kuhusu ni lini mfanyabiashara huyo anatarajiwa kufikishwa mahakamani, Kaimu Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Yahaya Mdogo alisema: "Jalada limeshapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka wa Serikali, ila nafuatilia kujua ni lini atafikishwa mahakamani, huku kukiwa na taarifa huenda akafikishwa mahakamani kesho.

Awali Kamanda wa polisi mkoani hapa, Simon Maigwa alisema tukio hilo lilitokea saa 4:30 usiku wa kuamkia Mei 17, 2023 katika Barabara ya Himo-Marangu ambako mfanyabiashara huyo anadaiwa kumuua Lyimo.

Aliyeshuhudia afunguka
Richard Mahoo, aliyekuwa amempakia Deogratius, wakitokea Himo kuelekea Kilema alidai walipofika karibu na ofisi ya mbunge wa Vunjo, mfanyabiashara huyo aliingia barabarani bila tahadhari na kutaka kuwagonga na gari lake.

Mahoo alidai kitendo kile kilisababisha Deogratius kushuka kwenye pikipiki na kumfuata na kumuuliza kwa nini anataka kuwagonga, lakini mtuhumiwa alishuka kwenye gari na kutamka maneno kuwa, “nyie mlikuwa mnatakaje”. “Kauli ile ilimkera marehemu na kuanza kushikana na kuanza kupigana. Wakati huo mimi nilikuwa naegesha pikipiki vizuri ili niwafuate, kitendo cha mimi kushuka kwenye pikipiki nikasikia mlio wa bastola, nikachanganyikiwa na kukimbia,"alidai.

Aliongeza: "Nilikimbia kama hatua 200 ndipo nikasimama na kuangalia nini kinaendelea, huyo mwenye gari akapiga tena risasi nyingine kunielekezea mimi, lakini haikunipata, ndipo akawasha gari na kukimbia," alidai Mahoo.

Kwa mujibu wa shuhuda huyo, baada ya milio hiyo ya risasi watu walijitokeza na kumchukua marehemu na kumpeleka Hospitali ya Faraja Himo na walipomfikisha waliambiwa ameshafariki dunia.

Kwa upande wa baba mkubwa wa marehemu, Isaack Lyimo alisema kijana wake alitokea kwenye msiba wilayani Siha akiwa na rafiki yake na walipofika Himo, walichukua pikipiki ya huyo rafiki yake kwa ajili ya kuelekea nyumbani Kijiji cha Kyou, Kilema.

Mzazi huyo alidai walipofika jirani na ofisi ya mbunge wa Vunjo kulitokea kuzozana kati ya mfanyabiashara huyo na mtoto wake baada ya mfanyabiashara huyo kuingia barabarani bila tahadhari na kutaka kuwagonga.

Kulingana na maelezo aliyopewa, katika mabishano hayo walifikia hatua ya kutaka kupigana, ndipo mfanyabiashara huyo inadaiwa alikwenda kwenye gari na kuchukua bastola na kumfyatulia risasi mtoto wake na kumuua papo hapo.

Mwananchi
Kwa hiyo baba alikwenda kwenye gari na kuchukua bastola na kufyatulia risasi mtoto wake na kumuua papo hapo.
 
Samaleko wana jukwaaa! Ni habari iliyozua gumzo katika mji mdogo wa Himo mkaoni Kilimanjaro.

====
Ni mauaji yaliyotikisa mji wa kibiashara wa Himo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, baada ya mfanyabiashara mashuhuri katika mji huo, Kennedy Minja (47) kudaiwa kumfyatulia risasi na kumuua papo hapo, mkazi wa Kilema, Deogratius Lyimo.

Baada ya tukio hilo, inaelezwa mfanyabiashara huyo aliendesha gari lake umbali wa kilomita 27 kutoka mji wa Himo hadi Moshi mjini ambako inadaiwa alijisalimisha kituo kikuu cha Polisi na hadi leo ana siku 18 anashikiliwa polisi.

Ni tukio lilitikisa mji huo kutokana na umaarufu wa mfanyabiashara huyo wa mazao na namna mauaji hayo yanavyodaiwa kutokea, yakihusishwa na mzozo wa dakika chache baina yake na marehemu.

Wananchi wa mji huo hawaelewi kiini hasa cha mauaji, kama kweli ni baada ya tajiri huyo kuwakosakosa kuwagonga marehemu na ndugu yake waliokuwa na pikipiki au la.

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limethibitisha kumshikilia mfanyabiashara huyo pamoja na bastola anayodaiwa kuitumia katika mauaji hayo na huenda akafikishwa mahakamani wakati wowote kuanzia leo kwa tuhuma za mauaji.

Alipoulizwa jana kuhusu ni lini mfanyabiashara huyo anatarajiwa kufikishwa mahakamani, Kaimu Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Yahaya Mdogo alisema: "Jalada limeshapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka wa Serikali, ila nafuatilia kujua ni lini atafikishwa mahakamani, huku kukiwa na taarifa huenda akafikishwa mahakamani kesho.

Awali Kamanda wa polisi mkoani hapa, Simon Maigwa alisema tukio hilo lilitokea saa 4:30 usiku wa kuamkia Mei 17, 2023 katika Barabara ya Himo-Marangu ambako mfanyabiashara huyo anadaiwa kumuua Lyimo.

Aliyeshuhudia afunguka
Richard Mahoo, aliyekuwa amempakia Deogratius, wakitokea Himo kuelekea Kilema alidai walipofika karibu na ofisi ya mbunge wa Vunjo, mfanyabiashara huyo aliingia barabarani bila tahadhari na kutaka kuwagonga na gari lake.

Mahoo alidai kitendo kile kilisababisha Deogratius kushuka kwenye pikipiki na kumfuata na kumuuliza kwa nini anataka kuwagonga, lakini mtuhumiwa alishuka kwenye gari na kutamka maneno kuwa, “nyie mlikuwa mnatakaje”. “Kauli ile ilimkera marehemu na kuanza kushikana na kuanza kupigana. Wakati huo mimi nilikuwa naegesha pikipiki vizuri ili niwafuate, kitendo cha mimi kushuka kwenye pikipiki nikasikia mlio wa bastola, nikachanganyikiwa na kukimbia,"alidai.

Aliongeza: "Nilikimbia kama hatua 200 ndipo nikasimama na kuangalia nini kinaendelea, huyo mwenye gari akapiga tena risasi nyingine kunielekezea mimi, lakini haikunipata, ndipo akawasha gari na kukimbia," alidai Mahoo.

Kwa mujibu wa shuhuda huyo, baada ya milio hiyo ya risasi watu walijitokeza na kumchukua marehemu na kumpeleka Hospitali ya Faraja Himo na walipomfikisha waliambiwa ameshafariki dunia.

Kwa upande wa baba mkubwa wa marehemu, Isaack Lyimo alisema kijana wake alitokea kwenye msiba wilayani Siha akiwa na rafiki yake na walipofika Himo, walichukua pikipiki ya huyo rafiki yake kwa ajili ya kuelekea nyumbani Kijiji cha Kyou, Kilema.

Mzazi huyo alidai walipofika jirani na ofisi ya mbunge wa Vunjo kulitokea kuzozana kati ya mfanyabiashara huyo na mtoto wake baada ya mfanyabiashara huyo kuingia barabarani bila tahadhari na kutaka kuwagonga.

Kulingana na maelezo aliyopewa, katika mabishano hayo walifikia hatua ya kutaka kupigana, ndipo mfanyabiashara huyo inadaiwa alikwenda kwenye gari na kuchukua bastola na kumfyatulia risasi mtoto wake na kumuua papo hapo.

Mwananchi
Somo la MEASUREMENTS AND EVALUATION lifundishwe shule za msingi.....

For sure hata humu JF Kuna mijadala humu watu huvutana wangekua ana Kwa ana watu Wasio wastahimilivu wangesha chapana bastola...........................

All in all tujifunze kua na social Tolerance,

Neno samahani au nisamehe lingetumiwa na mwenye gari linge epusha mengi......

Pia hata aliechapwa risasi anaweza kua alitoa tusi au kauli mbovu Kwa mwenye gari & Vise versa is true.................
 
Inategemea na jinsi alivyomfuata kutoka kwenye Bodaboda. Pengine aliona maisha yake yako hatarini na wakimchangia wanaweza kumuuwa.

Kama walikuwa wametoka msibani, uwezekano mkubwa ni walikuwa wamelewa. Na kitendo cha kusimamisha pikipiki hiyo saa nne na nusu usiku, kushuka na kumfuata, makosa ni ya marehemu. Tena especially kama ajali haiku.

Hapo ulevi wao uliwatuma wamuoshee. Sikubaliani na matumizi ya hovyo ya bastola, lakini marehemu ana makosa zaidi kwa maoni yangu.
Ndivyo ilivyokuwa,
 
Huu ushuhuda wa Richard Mahoo unayo mashaka lukuki kuhusu sababu ya mtuhumiwa kumpiga Marehemu risasi.

1. Ni mara chache sana mtu kushuka (hasa bodaboda) ili amuhoji dereva wa gari kuhusu sababu za kuendesha gari vibaya kulikohatarisha maisha yao. Mara nyingi bodaboda hufoka na muda mwingine hutoa ishara ya matusi huku akiongeza mwendo wa pikipiki.

2. Haiji akilini kuwa mtuhumiwa alikuwa akizozana na Deogratius, abiria aliyeshuka kwenye pikipiki na baada ya kumpiga risasi akimfyatulia Richard Mahoo ambaye hakuwa kwenye mzozo. Hii inaonesha kuwa Deogratius na Richard Mahoo walikuwa na mission waliyokuwa wakiitekeleza dhidi ya mtuhumiwa iliyopelekea mtuhumiwa kujihami kwa silaha.

3. Saa kumi na nusu usiku bodaboda hawezi kushuka kwenye pikipiki ili ahojiane na mtu asiyemjua. Hii inaashiria uwepo wa jaribio la uhalifu lillilozimwa na bastola ya mtu aliyelengwa kufanyiwa uhalifu huo.

(NI MAWAZO YANGU).
Mawazo yako ni valid kabisa , ikiwezekana huyo bodaboda aliyetoa ushahidi naye awe mtuhumiwa .
Abiria aliyepakiwa kwanza anashukaje kama dereva boda hajaamua kisimama ? Uamuzi wa kusimama ulifanywa na bodaboda na ilikuwa ni mission , kwa usiku wa saa 10 ni mission ovu.
 
Wajua hapo ni dakika 3 kutoka himo polisi yawesekanaje mtu afytue risasi mbili polisi wassisikie nashauri hicho kituo Askari waamishwe ndugu zangu wapo wanao fanya kazi Kwa mazoea.kwa Nini muuaji akukimbilia hapo himo akaenda mpka town na Centro amefika amekili kuua Tena Kwa makudi na amekaa Siku zaidi ya kumi na nane means Ili jambo lilikuwa linapangwa kuzimwa kama lilifikia Kwa ocd. Wa Centro hapo hakuna kesi Mzee wa kuyajenga kupitia kijana wake balongo idara ya ukaguzi
Unazani Wanakaaga kwenye ivyo vituo sasa ..pale Rau kuna kituo cha Police lakini karbia miezi kime fungwa tu na kufuri juu hamna Police yeyote
 
Mwamba ata jipiga defence za insanity/intoxication alikua kalewa case ina geukia kuua bila kukusudia historia ya crime hana, mjuba ana fungwa zake miezi 6 ya njeee aka fagie mahakamani na wala haendi kudadeki tutafute pesa [emoji736]️
 
Huu ushuhuda wa Richard Mahoo unayo mashaka lukuki kuhusu sababu ya mtuhumiwa kumpiga Marehemu risasi.

1. Ni mara chache sana mtu kushuka (hasa bodaboda) ili amuhoji dereva wa gari kuhusu sababu za kuendesha gari vibaya kulikohatarisha maisha yao. Mara nyingi bodaboda hufoka na muda mwingine hutoa ishara ya matusi huku akiongeza mwendo wa pikipiki.

2. Haiji akilini kuwa mtuhumiwa alikuwa akizozana na Deogratius, abiria aliyeshuka kwenye pikipiki na baada ya kumpiga risasi akimfyatulia Richard Mahoo ambaye hakuwa kwenye mzozo. Hii inaonesha kuwa Deogratius na Richard Mahoo walikuwa na mission waliyokuwa wakiitekeleza dhidi ya mtuhumiwa iliyopelekea mtuhumiwa kujihami kwa silaha.

3. Saa kumi na nusu usiku bodaboda hawezi kushuka kwenye pikipiki ili ahojiane na mtu asiyemjua. Hii inaashiria uwepo wa jaribio la uhalifu lillilozimwa na bastola ya mtu aliyelengwa kufanyiwa uhalifu huo.

(NI MAWAZO YANGU).
Saa 10 usiku utampata nan barabaran pale himo?

Ilkua n saa nne usiku
 
Naipata hii stori vzr sana..
Himo kila mtu anajiona ni mkubwa na kiburi kwa wengine!!maisha ya pale ni kama vile yale ya machimboni.
Kila mtu anataka aweke heshima..
Vijana wanataka maisha mazuri waonekana pia wamo kama baba zao!!
Ukimpa laki mtoto wa himo aue mtu ni dakika tuu roho inaacha mwili.
Ajabu suala la vibaka na panya road himo ni nadra sana..ila ubabe wa baa na kuchomana visu ili uogepewe iko sana pale.
Kamji kadogo Sana kale panya road ngumu maana wakianza msako n do sifur wamedakwa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ushuhuda wa Richard Mahoo unayo mashaka lukuki kuhusu sababu ya mtuhumiwa kumpiga Marehemu risasi.

1. Ni mara chache sana mtu kushuka (hasa bodaboda) ili amuhoji dereva wa gari kuhusu sababu za kuendesha gari vibaya kulikohatarisha maisha yao. Mara nyingi bodaboda hufoka na muda mwingine hutoa ishara ya matusi huku akiongeza mwendo wa pikipiki.

2. Haiji akilini kuwa mtuhumiwa alikuwa akizozana na Deogratius, abiria aliyeshuka kwenye pikipiki na baada ya kumpiga risasi akimfyatulia Richard Mahoo ambaye hakuwa kwenye mzozo. Hii inaonesha kuwa Deogratius na Richard Mahoo walikuwa na mission waliyokuwa wakiitekeleza dhidi ya mtuhumiwa iliyopelekea mtuhumiwa kujihami kwa silaha.

3. Saa kumi na nusu usiku bodaboda hawezi kushuka kwenye pikipiki ili ahojiane na mtu asiyemjua. Hii inaashiria uwepo wa jaribio la uhalifu lillilozimwa na bastola ya mtu aliyelengwa kufanyiwa uhalifu huo.

(NI MAWAZO YANGU).
Hapo lazima ujue wote inawezekana walikua maji, na ujue watu wengi wenye silaha uwa na kiburi sana. Na hio kutaka kumpiga na huyo aliekimbia ilikua ni katika kuja kuleta utetezi baadae kama ulivyoandika hapa wewe, kuwa alivamiwa na majambazi wakiwa na bodaboda na akawawahi akawauwa wote. Ndio ungekua utetezi wake angelifanikisha hilo.
N.B -NI MAWAZO YANGU
 
Barabarani ukinusurika ajali songs mbele acha kuzozana cha msingi hujapata ajali

Wote wana makosa wote wameshindwa kugongana ngumi za nini ? Kila mmoja angeenda zake kuendelea na safari zake

Lakini kwa mida hiyo waliyopigana na wachaga wengi niwajuavyo watakuwa walilewa wote chakari hiyo.mida

Hiyo mida ni ya walevi
 
Hapo lazima ujue wote inawezekana walikua maji, na ujue watu wengi wenye silaha uwa na kiburi sana. Na hio kutaka kumpiga na huyo aliekimbia ilikua ni katika kuja kuleta utetezi baadae kama ulivyoandika hapa wewe, kuwa alivamiwa na majambazi wakiwa na bodaboda na akawawahi akawauwa wote. Ndio ungekua utetezi wake angelifanikisha hilo.
N.B -NI MAWAZO YANGU
Pombe sio chai watakuwa walilewa njwiii hawaelewi Moshi ni mji au moshi ni moshi wa moto

Ajali wamekosana ngumi na bastola za nini? Hapo ilikuwa kila.mtu anasema samahani wanaondoka kila mtu anaendelea na safari

Halafu kwa sheria za barabarani abiria kama sio dereva hiyo kesi haimuhusu ilitakiwa kama ni ngumi wapigane madereva huyo wa bodaboda na huyo mfanyabiashara
Abiria alinunua ugomvi .Walioendesheana ovyo madereva yeye angebakia refferee

Udereva mkikosana ajali kila mtu ashukuru mola wake killa mmoja aendelee na safari akimshukuru mola aliyewanusuru na ajali
 
Pombe sio chai watakuwa walilewa njwiii hawaelewi Moshi ni mji au moshi ni moshi wa moto

Ajali wamekosana ngumi na bastols za nini? Hapo ilikuwa kila.mtu anasema samahani wanaondoka kila mtu anaendelea na safari

Halafu kwa sheria za barabarani abiria kama sio dereva hiyo kesi haimuhusu ilitakiwa kama ni ngumi wapigane madereva huyo wa bodaboda na huyo mfanyabiashara
Abiria alinunua ugomvi .Walioendesheana ovyo madereva yeye angebakia refferee

Udereva mkikosana ajali kila mtu ashukuru mola wake killa mmoja aendelee na safari akimshukuru mola aliyewanusuru na ajali
Kweli pombe sio chai, nikiangalia kwa jicho la tatu naona huyo abiria wa bodaboda aliununua ugomvi sio wake, pia naona tajiri muuaji atapona kwenye kesi hii maana yeye alikua peke yake na wao walikua wawili, hapo atasema alikua ana "self defence" wasimuumize. Atapewa faini na kifungo cha nje, mchezo umekwisha, anarejea uraiani.
 
Back
Top Bottom