Moshi: Mstaafu wa Polisi ajinyonga baada ya mke wake kuuza nyumba na mali nyingine

Moshi: Mstaafu wa Polisi ajinyonga baada ya mke wake kuuza nyumba na mali nyingine

Unajinyogaje kwa ishu kama hii ama ni kukosa uelewa wa mambo ? Alitakiwa atafute ushauri wa kisheria kama hatua ya awali.
 
Polisi bhana mimi hata ukijinyonga kwa mkojo mi hata sishangai maana hata hizo mali kuzipata uliliza watu wengi sana ...

kwa kweli huyo mama anaupiga mwingi
 
Polisi bhana mimi hata ukijinyonga kwa mkojo mi hata sishangai maana hata hizo mali kuzipata uliliza watu wengi sana ...

kwa kweli huyo mama anaupiga mwingi
 
HIVI WATETEZI WA HAKI ZA WANAWAKE MNATOAGA TUZO?

KAMA BADO ANZENI NA HUYU.

ZAMA ZETU HIZI MWANAMKE NI ZAIDI YA SHETANI
 
wachagaa mmeanza tena,si tumekubaliana kila mtu ale kutokana na urefu wa kamba yake!?, roho mbaya tu,huyo ngurumbisi chui jike la kichagga.
 
ukioa uchagagani unatakiwa kukaa chonjo wakati wowote kinanuka!!,huyu jamaa hakuwa hata na nyumba aliyojenga chonjo .
 
Mstaafu wa jeshi la polisi wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro bwana Omary Msangi amejinyonga hadi kufa baada ya kwenda kutibiwa jijini Dares salaam na aliporudi akakuta mke wake ameuza kila kitu ikiwemo nyumba na mashamba hivyo kulazimika kwenda kuanza maisha ya kupanga nyumba.

----
Mstaafu wa Jeshi la Polisi nchini, Omary Charema Msangi amejiua kwa kujinyonga bafuni kwake kwa kutumia waya wa pasi.

Tukio la kujinyonga mstaafu huyo limetokea usiku wa kuamkia jana akiwa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi eneo la Kiboriloni Manispaa ya Moshi ambapo mwili wa mstaafu huyo ulichukuliwa na kupelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Rufaa ya KCMC.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio leo Jumatano Januari 26, 2022 akisema bado wanaendelea na uchunguzi wa kubaini chanzo cha kujinyonga kwa mstaafu huyo.

"Ni kweli hili tukio limetokea na tunafuatilia kujua hasa chanzo cha kujinyonga kwake," amesema Kamanda Maigwa

Taarifa za chanzo cha kijinyonga kwa askari huyo kutoka kwa mmoja wa ndugu wa familia hiyo zinadai kuwa wakati mwanaume huyo akiwa kwenye matibabu mkoani Dar es salaam, mke wake alitumia nafasi hiyo kuuza mali zake zote ikiwa ni nyumba, mashamba pamoja na mali nyingine.

Inadaiwa kuwa baada ya mstaafu huyo kurejea nyumbani kutoka kwenye matibabu alikuta nyumba yake imeuzwa na kulazimika kwenda kupanga.

Chanzo: Mwananchi
Mwaka wa laana huu inahitajika toba kuu.Tumeanza na ukame, mafua ya msimu, kujinyonga, kukata mapanga, mauaji laana tupu.
 
Mke anauzaje nyumba ya mume wake ama nyumba ya pamoja?

Nyumba sio nyanya iuzwe bila mashahidi wala majirani

Mstaafu naye sijui kakwama wapi? Hajui hata haki zake, anaamua kujinyonga?

Pambafu kabisaa.
 
Wanawake wa kichaga hapana aisee hawana utu yaani wao pesa mbele,juzi tu mmoja kamuua mama yake mzazi kisa mashamba.
 
Wachaga katika ubora wao,
Hii nchi siku akiwa raisi mchaga tutakuja kupigwa mnada yule mmoja alikuwa gavana na mwingine alikuwa waziri mkuu pesa walizoiba unaweza kutandika chini kuanzia tanga mpaka mwanza.

Wachaga acheni tamaa
 
Mstaafu wa jeshi la polisi wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro bwana Omary Msangi amejinyonga hadi kufa baada ya kwenda kutibiwa jijini Dares salaam na aliporudi akakuta mke wake ameuza kila kitu ikiwemo nyumba na mashamba hivyo kulazimika kwenda kuanza maisha ya kupanga nyumba.

----
Mstaafu wa Jeshi la Polisi nchini, Omary Charema Msangi amejiua kwa kujinyonga bafuni kwake kwa kutumia waya wa pasi.

Tukio la kujinyonga mstaafu huyo limetokea usiku wa kuamkia jana akiwa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi eneo la Kiboriloni Manispaa ya Moshi ambapo mwili wa mstaafu huyo ulichukuliwa na kupelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Rufaa ya KCMC.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio leo Jumatano Januari 26, 2022 akisema bado wanaendelea na uchunguzi wa kubaini chanzo cha kujinyonga kwa mstaafu huyo.

"Ni kweli hili tukio limetokea na tunafuatilia kujua hasa chanzo cha kujinyonga kwake," amesema Kamanda Maigwa

Taarifa za chanzo cha kijinyonga kwa askari huyo kutoka kwa mmoja wa ndugu wa familia hiyo zinadai kuwa wakati mwanaume huyo akiwa kwenye matibabu mkoani Dar es salaam, mke wake alitumia nafasi hiyo kuuza mali zake zote ikiwa ni nyumba, mashamba pamoja na mali nyingine.

Inadaiwa kuwa baada ya mstaafu huyo kurejea nyumbani kutoka kwenye matibabu alikuta nyumba yake imeuzwa na kulazimika kwenda kupanga.

Chanzo: Mwananchi
Awamu ina gundu!
 
Back
Top Bottom