Moshi: Mstaafu wa Polisi ajinyonga baada ya mke wake kuuza nyumba na mali nyingine

Wachaga katika ubora wao,
Hii nchi siku akiwa raisi mchaga tutakuja kupigwa mnada yule mmoja alikuwa gavana na mwingine alikuwa waziri mkuu pesa walizoiba unaweza kutandika chini kuanzia tanga mpaka mwanza.

Wachaga acheni tamaa
Hahahahahhaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nina t-shirt yangu ya kulalia nimeichapa maadishi ya "Sleeping with enemy" nadhani ujumbe huwa unawifikia Wake zangu, tena wasije kuthubutu kuliuza pagala langu.

Nitakuwa mgeni wa nani?
 
Kama alizipata kwa kudhulumu nayeye kadhulumiwa

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Afande Gaddafi alikuzaidi ya gaidi CCP usiombe uingie mikononi mwake.
 
It's all about kuuwawa, kujinyonga, kuchomwa kisu..huu mwaka umeanza vipi wajameni?
haya mambo ya kutaka Tanzania tufanye maagano kama ya Haiti 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Daah bora na polisi huyu kaenda. Bado tupo kwenye maombi na wengine wafate.
 
Ukitaka kuua mtu kwanza uza shamba lake, mkabe, tupa maiti bafuni na kamba pembeni. Polisi wa kibongo atasema kajinyonga. Shamba lake limeuzwa kajinyonga.

Hawako trained kabisa masikini, hawajawahi kusikia "staged murder scene."
Kwa kweli ploisi wetu hawana hata intuition ya kuwa trained kuwa investigators.
Wao ni kuchapa mtu kwa waya wa umeme mpak mtu aseme poo!
Mwisho wa uchunguzi, hakuna forensic ivestigation wala homicides investigation.
Kwa mfano huyu polisi aliyesemekana amejinyonga, hata leo ukifanyika uchunguzi wa kitaalam itagungulika alikufaje!
 

Haahahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…