Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Bwana Ngonyani atasakwa na CCM kwa udi na uvumba apate teuzi itakayoisaidia chama.
CCM ni kijiwe cha wezi na wataaluma wa mbinu chafu.
Kwa CV hii uliyoiweka naona ana qualify teuzi.
Tuendelee kumuombea mwalimu aliye mahabusu asije akajinyonga huko kama ambavyo polisi wanavyomalizanaga na tuhuma chechefu
CCM ni kijiwe cha wezi na wataaluma wa mbinu chafu.
Kwa CV hii uliyoiweka naona ana qualify teuzi.
Tuendelee kumuombea mwalimu aliye mahabusu asije akajinyonga huko kama ambavyo polisi wanavyomalizanaga na tuhuma chechefu