Moshi: Mwalimu wa hisabati jela maisha kwa kulawiti mwanafunzi

Uzi huu utakuwa na kurasa chache sana! Mleta mada kuna sehemu umefeli.....
 
Mtu kama una hamu ya kufukua mtaro,.mbonamitandaoni mademu wanajitangaza wanatoa hivyo .Hela Yako tuu...Siyo unakwenda kutuharibia watoto wadogo kaah!
 
Asant majaji na hakimu wa mahakamani ya rufani na mwanzo Bado padir yule sostenez wapuuz Sana kuna nn kwemye makalio ambayo ss wengine hatujui
 
Maisha jela ni safi sana, nae aende kufanywa huko maisha...
 
Kuna tatizo mahali tena tatizo kubwa

Ova
 
Wangemnyonga tu kabisa. Tufiche wapi watoto jamani, wanaume tuoneeni huruma, tunazaa Kwa uchungu....hebu mdhibiti hizo nyege zenu.
Huu ni wakati wa mpito,na pia ushirikina unachangia,hivi mtu unashindwaje kushawishi mtu mzima hata kama hujui kushawishi sema mojamoja kwa moja naomba hiyo kitu nitalupia nitajie bei,kweli kabisa katika kumi wote watakataa
 
Kwahiyo walimu wa hisabati tumeshindwa kudhibiti nyege😳
 
Kuna tatizo mahali tena tatizo kubwa

Ova
Tatizo ni kubwa kuliko watu wanavyodhani mkuu.

Kama tusipofanya hatua za haraka, tunakwenda kuwa na kizazi cha ajabu sana.
 
Tatizo ni kubwa kuliko watu wanavyodhani mkuu.

Kama tusipofanya hatua za haraka, tunakwenda kuwa na kizazi cha ajabu sana.
Hilo tatizo mnalitizima katika angle gani?

Kwa namna tulivyosambaziwa maudhui ya aina hiyo kuanzia wasanii wetu na video zao na nyimbo zao... Connection za kila siku.. Sioni kama Kuna kupona

Kwa akili hii ya kibinadamu inayopenda soft and comfortable zone!? Sio ajabu kuona madume yakikazana kujaribu kupata ndogo na kutoa ndogo vile vile kutokana na upepo ulivyo Sasa.. Hao Celebrities na public figures ni uharo mtupu... Ndio role models wa vijana wetu..

Ni kama kizazi cha Kati hapo mabinti kujichubua Kwa kasi rangi ya ngozi.. Haikuwezekana kuwazuia.. Hadi madhara kuwa makubwa Sasa wametulia... Napo Dunia bado iko kasii.. Saiv wana fanya upasuaji kujirekebisha miundo ya miili Yao..

Tunajilisha upepo sana asee..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…