Ndagullachrles
Senior Member
- Jun 20, 2023
- 153
- 161
Leo mahabusu wenye kesi mbalimbali kwenye mahakamani hasa Moshi Mjini, hawajafikishwa mahakamani kutokana na uhaba wa askari.
Askari wengi wapo kwenye shughuli ya uwashwaji wa Mwenge wa Uhuru Kitaifa unaofanyika kwenye uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi.
Mgeni rasmi kwenye tukio Hilo ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Wengi wa mahabusu hao wapo gereza kuu la mkoa, Katanga na mpaka muda huu hakuna dalili za kufikishwa mahakamani.
Poleni sana mahabusu na ndugu mliofika mahakamani kuwaona jamaa zenu
Askari wengi wapo kwenye shughuli ya uwashwaji wa Mwenge wa Uhuru Kitaifa unaofanyika kwenye uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi.
Mgeni rasmi kwenye tukio Hilo ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Wengi wa mahabusu hao wapo gereza kuu la mkoa, Katanga na mpaka muda huu hakuna dalili za kufikishwa mahakamani.
Poleni sana mahabusu na ndugu mliofika mahakamani kuwaona jamaa zenu