4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Tulosema
Viongozi wa CHADEMA wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wakieleza jinsi rufaa zao za majimbo ya Moshi vijijini, Moshi mjini na Vunjo 'zilivyogonga mwamba' chini ya Mwenyekiti wa kamati ya rufaa ya uchaguzi ngazi ya wilaya ambaye ni Katibu Tawala wa wilaya hiyo, ambapo maamuzi hayo yalifanyika Novemba 15.2024
View attachment 3153509
[/QUO
Tulisema hapakua na sababu ya kukata rufaa , Lissu alishasema uchaguzi wa S.za mtaaa zimekwisha ,chadema kama vipi jiondoeni kwenye uchaguzi