LGE2024 Moshi: Rufaa zote za CHADEMA zaangukia pua

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tulosema
 
Sasa Nina swali kukuuliza huyu alipitishwa na serikali je ana sifa?
unang'ang'ana na uzushi usiokupa faida wala ahueni,
Wakati waziri yuko live akibainisha ukweli na kutoa maelekezo ya mwisho kuelekea kampeni za kuanzia November 20,

kaa chonjo gentleman 🐒
 
Changamoto za kisiasa hutatuliwa na michakato ya kisiasa, Mungu hahusiki kamwe. Kama unabisha basi chadema ibadilishe usajili na kuwa kanisa ili ifanye maombi ya hicho unachodhani kinawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…