Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Wakuu umofia kwenu,
Pengine ukimya wa watu wa Moshi na roho yao ya Maisha popote ndio inafanya wasidai moshi yao kama ilivyo.
Angalia mawasiliano ya huyu mzungu anavyoisifia Moshi.
Kwamba anashangaa kwanini inasifiwa Arusha pekee na sio Moshi?
Serikal yenyewe inapeleka mirad yote ya Maendeleo Arusha badala ya Moshi.
Kuna tatizo mahali?
Jisomee mwenyewe.
Watafiq.
Pengine ukimya wa watu wa Moshi na roho yao ya Maisha popote ndio inafanya wasidai moshi yao kama ilivyo.
Angalia mawasiliano ya huyu mzungu anavyoisifia Moshi.
Kwamba anashangaa kwanini inasifiwa Arusha pekee na sio Moshi?
Serikal yenyewe inapeleka mirad yote ya Maendeleo Arusha badala ya Moshi.
Kuna tatizo mahali?
Jisomee mwenyewe.
Watafiq.