Moshi unaofukuta Kuna Kila dalili Moto mkubwa utalipuka,mamlaka isidharau dalili hizi

Moshi unaofukuta Kuna Kila dalili Moto mkubwa utalipuka,mamlaka isidharau dalili hizi

Mtondoli

Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
70
Reaction score
174
Ndugu zangu dalili zinaonyesha Kuna Jambo haliko sawa.mama asidharau viashiria vinavyojitokeza.askofu lusekelo aliongea Mambo mazito kuhusu mbowe kushikiliwa na polisi kwa makosa ya ugaidi.kaja askofu mwingira kaongea mazito Sana ,na muona pia job ndugai nikama anakitu hakubaliani nacho na ninahisi hayuko peke yake Kuna kundi kubwa nyuma yake.mamlaka haitakiwi kukaza shingo wekeni Mambo sawa kinyume chake mtaanza kutafunana wenyewe
 
Nchi yangu Tz nakupenda
 
Uko sahihi..

Naendelea kusisitiza(it sounds better in English).

Ordinary people can't see this coming, those in power can; but still can't control or change anything until it is too late.
 
Ndugu zangu dalili zinaonyesha Kuna Jambo haliko sawa.mama asidharau viashiria vinavyojitokeza.askofu lusekelo aliongea Mambo mazito kuhusu mbowe kushikiliwa na polisi kwa makosa ya ugaidi.kaja askofu mwingira kaongea mazito Sana ,na muona pia job ndugai nikama anakitu hakubaliani nacho na ninahisi hayuko peke yake Kuna kundi kubwa nyuma yake.mamlaka haitakiwi kukaza shingo wekeni Mambo sawa kinyume chake mtaanza kutafunana wenyewe
Wacha watafunane, kazi yetu kuchochea kuni moto uwake zaidi tujue hatimaye nani alihusika na mauaji ya raia kipindi cha Magufuli
 
Back
Top Bottom