milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Huu uwanja ulijenga enzi za mwalimu Nyerere,Leo kichaa mmoja anaropoka TU!
Kama ukarabati ufafanywa na Samia, mbunge wa eneo Hilo amefanya kazi Gani?
Huu usemi utafanya wabunge wasipewe kura kwenye maeneo yao,inaonyesha hawakufanya chochote.
Pia haijulikani Kodi za wananchi zimefanya kazi Gani kwenye miradi ilihali Kodi tunalipa.
Kama ukarabati ufafanywa na Samia, mbunge wa eneo Hilo amefanya kazi Gani?
Huu usemi utafanya wabunge wasipewe kura kwenye maeneo yao,inaonyesha hawakufanya chochote.
Pia haijulikani Kodi za wananchi zimefanya kazi Gani kwenye miradi ilihali Kodi tunalipa.