Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Asante kushukuruWamegoma bila sababu?
Asante
Nyie akina marope na mume wa tulia mnachokitafuta mtakipata Tena Kwa uzito uleuleAsante kushukuruView attachment 2726369
Huko ulipo kuna umeme??Nyie akina marope na mume wa tulia mnachokitafuta mtakipata Tena Kwa uzito uleule
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Mama mtulivuKuanzia Marangu Mtoni hadi Rombo Tarakea wenye vituo vya mafuta wamegoma kuuza mafuta.
Wanaoelekea njia hiyo wahakikishe wamejaza mafuta ya kutosha.
Magari yamepaki njiani Mengi inabadi watu wafuate mafuta Last, Na Letoktok Kenya. Mkuu wa Mkoa, Nudrin Babu ingilia kati jambo hili ila mambo yaende sawa.
Ole Mushi
0712702602
My Take: J Makamba ana kitu atatufikisha mbali
View attachment 2726367
Anaendelea kukaa kimya!!Mama mtulivu
Makamba anaupiga mwingiKuanzia Marangu Mtoni hadi Rombo Tarakea wenye vituo vya mafuta wamegoma kuuza mafuta.
Wanaoelekea njia hiyo wahakikishe wamejaza mafuta ya kutosha.
Magari yamepaki njiani Mengi inabadi watu wafuate mafuta Last, Na Letoktok Kenya. Mkuu wa Mkoa, Nudrin Babu ingilia kati jambo hili ila mambo yaende sawa.
Ole Mushi
0712702602
My Take: J Makamba ana kitu atatufikisha mbali
View attachment 2726367
Kwa nini?Kuanzia Marangu Mtoni hadi Rombo Tarakea wenye vituo vya mafuta wamegoma kuuza mafuta.
Wanaoelekea njia hiyo wahakikishe wamejaza mafuta ya kutosha.
Magari yamepaki njiani Mengi inabadi watu wafuate mafuta Last, Na Letoktok Kenya. Mkuu wa Mkoa, Nudrin Babu ingilia kati jambo hili ila mambo yaende sawa.
Ole Mushi
0712702602
My Take: J Makamba ana kitu atatufikisha mbali
View attachment 2726367
"Mkataba wa Bandari ndiyo chanzo cha yote" nilimsikia Jamaa akisema!!Kwa nini?
Kumbe tatizo ni 4leni tu.kuweni na subla ikiisha mambo poaAsante kushukuruView attachment 2726369
Ni makamba au huyo bibi ndo mwenye shidaKuanzia Marangu Mtoni hadi Rombo Tarakea wenye vituo vya mafuta wamegoma kuuza mafuta.
Wanaoelekea njia hiyo wahakikishe wamejaza mafuta ya kutosha.
Magari yamepaki njiani Mengi inabadi watu wafuate mafuta Last, Na Letoktok Kenya. Mkuu wa Mkoa, Nudrin Babu ingilia kati jambo hili ila mambo yaende sawa.
Ole Mushi
0712702602
My Take: J Makamba ana kitu atatufikisha mbali
View attachment 2726367
Akirudi huyu nijulishe..πππ"Mkataba wa Bandari ndiyo chanzo cha yote" nilimsikia Jamaa akisema!!
Nani?Akirudi huyu nijulishe..πππ
tulia ana mume? aka BetinaNyie akina marope na mume wa tulia mnachokitafuta mtakipata Tena Kwa uzito uleule
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Maridhiyano OYEEEE!!Kwa kweli mama anaupiga mwingi "in chadema voice"