Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Mkuu mtaji wa wajinga huu hakuna reasoning kabisa
Daah hatua za haraka lazima zi chukuliwe kulinda wananchi na wimbi hili la manabii hewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatua lazima zichukuliwe kwa dharura. Haya makanisa yaundiwe chombo maalum cha kuyaangalia usalama wa hizo huduma wanazotoa. Tusije tukafikia yale ya mapadre wazungu waliokuwa wanawafira watoto wadogo makanisani na mashuleni.
 
Tatizo ni viatu wanavyovaaga walokole ni vile 4 angles 'foengo' vyenye visigino vya mbao asa inategemea ukanyagwe usoni afu uwe fresh tu . kingine unakuta mgonjwa kachomolewa hospitali hali taabani afu umpeleke akaombewe then katka hali yake hyohyo ya ugonjwa akagombee mafuta si akisukumwa mara moja tu ashakufa???
 
PUM..VU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo umejiona umetoa point za maana kwa sisi unaotuita tunapenda porojo.Uliyoandika yote ni ovyo,rudia kusoma ulichiandika halafu jisikilize namna ulivyoandika pumba tu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.
Mathayo 7:15

Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
Mathayo 24:24

kwa maana wataondoka Makristo wa uongo, na manabii wa uongo, watatoa ishara na maajabu, wapate kuwadanganya, kama yamkini, hata hao wateule.
Marko 13:22

Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu, kama vile kwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia.
2 Petro 2:1

Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
1 Yohana 4:1
 
ni kweli kifo hakizoeleki ndugu lakini kuwalaumu wahanga na kumuunganisha mhubiri kabla ya ripoti ya uchunguzi toka kwenye mamlaja husika tunakosea au tuseme tunaongozwa na hisia.

mashariki ya kati kila mwaka idadi kadhaa ya mahujaji hukutwa na visa hivyo hivyo wakiwa kwenye zoezi la kurusha mawe kwenye mnara na imeshapokelewa na kuzoeleka; watu na mamlaka za huko hazichukui tahadhari kubadili utaratibu.

kwa mlinganyo huo, kuna tofauti gani na hilo?

FaizaFoxy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona ukifikiria kwa undani zaidi siyo kwamba haieleweki. Inaeleweka sana tu kwamba hao ni matapeli kabisa wanaotumia matatizo na kukosa maarifa kwa watu kujinufaisha.
 
MWAMPOSA APIGWE BAN KUFANYA MIKUTANO YAKE YA KITAPELI ,Ona amesababisha MAAFA.
 
Wapumzike kwa amani, niko njiani kuelekea msibani kuna mwenzetu kakanyagiwa huko!
 
Kiwango chako cha kufikiri kiko chini ya kijivu. Kamwone mtaalam au msomi yoyote akusaidie.
 
Hili tukio lingetokea usukumani hili.......sipat picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…