Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Kwameh,
Just a few curious points:-

- Than why was Mwamposa's posters pasted all over the areas plus the stage? and even if the permit was provided to another

person does that exonerate Mwamposa?
- Within that context, if Mwamposa guided the attendee's to step on the oil does that also exonerate him?
 
Biblia inasema "mtawatambua kwa matendo" lini kilicho kitakatifu kimwagwe chini ndo kitakase watu???? Harafu mwangalieni huyu hats katika matamshi yake ya mwisho.

Tapeli tu huyo ila watanzania tuache kuabudu ishara , ishara haziponyi, Wala kutakasa mbinguni hatuendi kwa ishara. Mungu aturehemu ndugu zangu hakika ufunuo was yohana unaendelea kujifunua . Mungu atusaidie.

Amina
 
Waumini wenzangu wa dini mbalimbali. Zingatieni hili. Enzi za miujiza zimeshapita na akina mtume Nuhu na safina yake.

Kuna wakristian ambao mioyoni mwao hawaamini Mungu wala uwepo wa Mungu. Lakini wanatamani sana wangeamini. Hawa ndiyo wanaotamani miujiza kila siku ili wapate kuamini.

Majizi nayo yanajua kama kuna watu wa aina hii. Majizi hayo kila siku wanaahidi miujiza au wanafeki miujiza ili kuendelea kuwaibia wajinga hawa wasioamini Mungu na wanataka waone miujiza ili wapate kuamini.

Acheni ufala ndugu zangu, miujiza ya kimitume imekwisha, hakuna tena.
 
Wanawake wenzangu its high time tuanze kutumia akili kidogo tu tulizopewa badala ya hisia katika kila kitu. Kwanini sisi ni victim wa kila kitu. Pathetic!
 
Wanawake wenzangu its high time tuanze kutumia akili kidogo tu tulizopewa badala ya hisia katika kila kitu. Kwanini sisi ni victim wa kila kitu. Pathetic!


Wa kuwalaumu siyo Wanawake, ni Wanaume, Dunia nzima Jamii zilizostaarabika ni jukumu la Wanaume kulinda Wanawake, kwani Wanawake ni dhaifu na siyo stable na kwa sababu Wanaume wa TZ wameshindwa kuwalinda na kuwatetea Wanawake matokeo yake Wanawake wanahangaika, huku na kule wakitafuta majibu, wameachwa wenyewe.

Wanaume wa TZ ni failure through and through!
 
You right 👍
Kibali aliomba akapewa? Kama aliomba na hakupewa aonyeshe then case ibebeshwe polisi Moshi.na kama anacho why hakupewa polisi wa kuchunga usalama?
Kwani alipewa kibali cha kukanyagisha watu mafuta? Kibali unapewa cha kuhubiri, na si vinginevyo. Hayo mafuta afungue duka awauzie hao wajinga siyo kuwakanyagisha ona sasa amewatoa kafara!
 
Yamkini video hii inweza amsha fahamu za baadhi ya watu ambao fahamu zao shetani amezipiga upofu.Tazama hii video
Huko ni South Africa ,Tanzania is not an exception
 
Tar 13 Dec 2024 Mwamposa ametangaza kuna huduma ya kukanyaga mafuta.

Tunaomba vyombo vya kiserikali vinavyohusika kusimamia taasisi za kidini ,wamwambie Mwamposa aweke utaratibu mzuri ambao hautasababisha maafa/vifo , vyombo vya ulinzi viwepo na wapange foleni kwenda kukanyaga hayo mafuta na si kukimbizana kiholela.
 
Tar 13 Dec 2024 Mwamposa ametangaza kuna huduma ya kukanyaga mafuta.

Tunaomba vyombo vya kiserikali vinavyohusika kusimamia taasisi za kidini ,wamwambie Mwamposa aweke utaratibu mzuri ambao hautasababisha maafa/vifo , vyombo vya ulinzi viwepo na wapange foleni kwenda kukanyaga hayo mafuta na si kukimbizana kiholela.
Duhh. Haya mambo bado yanaendelea?
 
Tar 13 Dec 2024 Mwamposa ametangaza kuna huduma ya kukanyaga mafuta.

Tunaomba vyombo vya kiserikali vinavyohusika kusimamia taasisi za kidini ,wamwambie Mwamposa aweke utaratibu mzuri ambao hautasababisha maafa/vifo , vyombo vya ulinzi viwepo na wapange foleni kwenda kukanyaga hayo mafuta na si kukimbizana kiholela.
Mwisho wa mwaka muda wa kutoa kafara huu
 
Waumini 18 wa Dini ya Kikristo wamefariki dunia usiku huu mjini Moshi, wakati wakikanyagana kugombea kukanyaga mafuta ya upako katika kongamano la kidini la Mtume Boniface Mwamposa, DC wa Moshi Kippi Warioba amethibitisha

Updates: 00:45
Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kukanyagana imefikia 20 na uenda idadi hiyo ikaongezeka Mkuu wilaya amethibitisha.

UPDATES:
Watu 20 wamefariki dunia leo jioni Jumamosi Februari 1,2020 katika ibada ya mahuburi wakati wa harakati za kukanyaga mafuta ya upako kwenye kongamano la Mtume Boniface Mwamposa 'Buldoza' katika Viwanja vya Majengo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Inadaiwa kuwa waumini hao walikumbwa na maafa hayo wakati wakikanyagana kwa ajili ya kugombania kukanyaga mafuta yaliyomwagwa na mhubiri huyo yakidaiwa kuwa na upako.

Inaelezwa kuwa watu zaidi ya 40 walikanyagana katika harakati za kugombania mafuta ya upako na kukimbizwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro ya Mawenzi.

Idadi ya waliokufa huenda ikaongezeka kwa kuwa hakuna taarifa ya ujumla ya majeruhi waliopelekwa katika vituo vya afya vya jirani pamoja na Hospitali ya Rufaa ya KCMC.

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Kippi Warioba amelithibitisha leo saa 5:00 usiku kuwa taarifa za awali waumini 20 wamekufa lakini akasisitiza hizo ni taarifa za awali.

“Taarifa za awali tulizonazo ni kuwa ni waumini 20 wamepoteza maisha lakini tunaendelea kufuatilia maeneo mengine ya zahanati, vituo vya afya na hospitali kama kuna watu walipelekwa huko,” amesema Kippi.

View attachment 1343965
Apostle Boniface Mwamposa a.k.a Bulldozer

=====

MWAMPOSA ATAKIWA POLISI KWA MAHOJIANO
Jeshi la Polisi limemtaka Boniface Mwamposa kujisalimisha polisi kwa mahojiano ya vifo vya watu 20 vilivyotokea mjini Moshi Mkoa wa Kilimanjaro usiku Februari Mosi, 2020

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Salum Hamduni amesema mchungaji wa Kanisa la Calvary Assemblies of God, Elia Mwambapa ndiye aliyeomba kibali cha kongamano hilo la siku tatu lililomalizika jana Jumamosi

Amesema baada ya hilo tukio wamemtafuta sana huyo Boniface Mwamposa maarufu kama Bulldozer bila mafanikio. Na kumtaka ajisalimishe kwa mahojiano

Kamanda Hamduni alifafanua kuwa idadi ya waliokufa ni 20 hadi sasa, ambapo kati yao watoto wadogo ni wanne, watu wazima 16

11:24 AM: MWAMPOSA AENDESHA IBADA KANISANI KWAKE KAWE
Wakati Polisi wakidai kumtafuta bila mafanikio, Mwamposa yupo anaendesha ibada kanisani kwake Kawe jijini Dar huku kukiwa na ulinzi mkali

Inadaiwa watu wanadhibitiwa kupiga picha bila kibali na ibada ya leo itaisha saa 6 kamili mchana

ATOA TAMKO KUHUSU VIFO MOSHI
"Sijafanya mauaji, bali nilikuwa katika kutangaza na kuponya kupitia ufalme wa Mungu. Hakuna kafara pale bali muda wao uliisha na wameitwa na Bwana Yesu watakakoishi milele.

Najiandaa niende nikajisalimishe Polisi Moshi. Bwana ametoa na bwana ametwaa" Mch. Mwamposa

12:47 PM: ATIWA MBARONI
Jeshi la Polisi jijini Dar limemtia mbaroni Mwamposa (almaarufu Bulldozer) kufuatia vifo vya watu 20 na majeruhi 16 huko Moshi, Kilimanjaro

Mwamposa aliwaaga waumini wake mchana huu kuwa anaenda Moshi kuitikia wito wa Polisi


WALIOFARIKI MOSHI KUAGWA KWA PAMOJA KESHO
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bi. Anna Mghwira amesema miili ya watu 20 waliofariki dunia kwa kukanyagana kwenye ibada wakigombea kukanyaga ‘mafuta ya upako’ itaagwa kesho kwenye uwanja wa Majengo, Moshi. Tayari miili 16 imeshatambuliwa.
Hili lilikuwa kafara proper,no wonder usanii wake unefikia kiwango cha juu sana.The stupid and foolish see him as a man of God,the intelligent and discerning see him as an agent of the Devil.
 
Waumini 18 wa Dini ya Kikristo wamefariki dunia usiku huu mjini Moshi, wakati wakikanyagana kugombea kukanyaga mafuta ya upako katika kongamano la kidini la Mtume Boniface Mwamposa, DC wa Moshi Kippi Warioba amethibitisha

Updates: 00:45
Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kukanyagana imefikia 20 na uenda idadi hiyo ikaongezeka Mkuu wilaya amethibitisha.

UPDATES:
Watu 20 wamefariki dunia leo jioni Jumamosi Februari 1,2020 katika ibada ya mahuburi wakati wa harakati za kukanyaga mafuta ya upako kwenye kongamano la Mtume Boniface Mwamposa 'Buldoza' katika Viwanja vya Majengo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Inadaiwa kuwa waumini hao walikumbwa na maafa hayo wakati wakikanyagana kwa ajili ya kugombania kukanyaga mafuta yaliyomwagwa na mhubiri huyo yakidaiwa kuwa na upako.

Inaelezwa kuwa watu zaidi ya 40 walikanyagana katika harakati za kugombania mafuta ya upako na kukimbizwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro ya Mawenzi.

Idadi ya waliokufa huenda ikaongezeka kwa kuwa hakuna taarifa ya ujumla ya majeruhi waliopelekwa katika vituo vya afya vya jirani pamoja na Hospitali ya Rufaa ya KCMC.

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Kippi Warioba amelithibitisha leo saa 5:00 usiku kuwa taarifa za awali waumini 20 wamekufa lakini akasisitiza hizo ni taarifa za awali.

“Taarifa za awali tulizonazo ni kuwa ni waumini 20 wamepoteza maisha lakini tunaendelea kufuatilia maeneo mengine ya zahanati, vituo vya afya na hospitali kama kuna watu walipelekwa huko,” amesema Kippi.

View attachment 1343965
Apostle Boniface Mwamposa a.k.a Bulldozer

=====

MWAMPOSA ATAKIWA POLISI KWA MAHOJIANO
Jeshi la Polisi limemtaka Boniface Mwamposa kujisalimisha polisi kwa mahojiano ya vifo vya watu 20 vilivyotokea mjini Moshi Mkoa wa Kilimanjaro usiku Februari Mosi, 2020

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Salum Hamduni amesema mchungaji wa Kanisa la Calvary Assemblies of God, Elia Mwambapa ndiye aliyeomba kibali cha kongamano hilo la siku tatu lililomalizika jana Jumamosi

Amesema baada ya hilo tukio wamemtafuta sana huyo Boniface Mwamposa maarufu kama Bulldozer bila mafanikio. Na kumtaka ajisalimishe kwa mahojiano

Kamanda Hamduni alifafanua kuwa idadi ya waliokufa ni 20 hadi sasa, ambapo kati yao watoto wadogo ni wanne, watu wazima 16

11:24 AM: MWAMPOSA AENDESHA IBADA KANISANI KWAKE KAWE
Wakati Polisi wakidai kumtafuta bila mafanikio, Mwamposa yupo anaendesha ibada kanisani kwake Kawe jijini Dar huku kukiwa na ulinzi mkali

Inadaiwa watu wanadhibitiwa kupiga picha bila kibali na ibada ya leo itaisha saa 6 kamili mchana

ATOA TAMKO KUHUSU VIFO MOSHI
"Sijafanya mauaji, bali nilikuwa katika kutangaza na kuponya kupitia ufalme wa Mungu. Hakuna kafara pale bali muda wao uliisha na wameitwa na Bwana Yesu watakakoishi milele.

Najiandaa niende nikajisalimishe Polisi Moshi. Bwana ametoa na bwana ametwaa" Mch. Mwamposa

12:47 PM: ATIWA MBARONI
Jeshi la Polisi jijini Dar limemtia mbaroni Mwamposa (almaarufu Bulldozer) kufuatia vifo vya watu 20 na majeruhi 16 huko Moshi, Kilimanjaro

Mwamposa aliwaaga waumini wake mchana huu kuwa anaenda Moshi kuitikia wito wa Polisi


WALIOFARIKI MOSHI KUAGWA KWA PAMOJA KESHO
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bi. Anna Mghwira amesema miili ya watu 20 waliofariki dunia kwa kukanyagana kwenye ibada wakigombea kukanyaga ‘mafuta ya upako’ itaagwa kesho kwenye uwanja wa Majengo, Moshi. Tayari miili 16 imeshatambuliwa.
Huyu TAPELI WA KIROHO ANASUMBUWA MNO!
 
Tar 13 Dec 2024 Mwamposa ametangaza kuna huduma ya kukanyaga mafuta.

Tunaomba vyombo vya kiserikali vinavyohusika kusimamia taasisi za kidini ,wamwambie Mwamposa aweke utaratibu mzuri ambao hautasababisha maafa/vifo , vyombo vya ulinzi viwepo na wapange foleni kwenda kukanyaga hayo mafuta na si kukimbizana kiholela.
Tena ni Friday the 13th, imekaa kimkakati sana…
 
Back
Top Bottom