MOSSAD: "A" "BE" na "CHE" ya mashetani wenye ithibati ya mauaji

Kuna kitu umekisahau walitandikwa vibaya na hiz bu LLAH mpaka wakasimamisha vita ilikua nifarheha kubwa nakwass hawatakagi kabisa kupigana na hicho kikundi huwa wanakikwepa kwamfano wakiwashambulia2 wanawaahid kulipiza kisas nakwel wanalipa nwisho israili inatulia kimya
 
Sikumaliza kuandika, ila hapo unaposema walishindwa na Hizbullah inaniwia vigumu kuamini. Labda tungefanya hivi, tuseme na facts. Ni mwaka gani hilo tukio lilifanyika, Israel wakafyata mkia. Nani wakiwa viongozi? (Kwa hizbullah & Israel).
 
Nna swali simple Sana kwako!
Kama wana wa Israeli asilia bado Wana laana kama ilivyoandikwa kwenye kumbukumbu la torati 28,
Je, Yesu alikuja kufanya nini duniani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…