SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
- Thread starter
- #61
Leo tutatazamia wauaji (ASSASSINS) wa Mossad. Karibuni tujuzane. Uzi tayari umeshakuwa updated.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka mkuu. Nadhani umeona mwendelezo wa leo.Huu Uzi uendelee mkuu kila siku tuwekee vitu humu tusome
Pamoja sana. Tukutane kesho kwa mwendelezo.Shukraan wote pia kwa mleta uzi
Sawa mkuu umeeleweka!Ustumie kichwa kufuga nywele tu, kwa nini uquote habari yote hiyo
Iko muzuri sana
Nafuatilia, vipi utafanya kuindeleza pale pale ulipoishia? nikimaanisha nikitaka kujua muendelezo wake nifungue thread hiihii?Ahsante sana Mkuu. Natumai tutakuwa pamoja kwenye mwendelezo. Kuna mengi sana ya kuleta hapa...
Nashukuru sana mkuu. Tuwe pamoja!Huu Uzi mtamu dah
Pasi na shaka Mkuu. Tuwe pamoja.Mkuu SteveMollel, uki update usisahau kunitag.
Ahsante sana mkuu. Tutaendelea kuhabarishana zaidi.hili jukwaa limenifungua kwa mambo mengi
asante mkuu kwa kutuletea mada fikirishi
Sitafungua thread nyingine, nitakuwa naendeleza hapahapa.Nafuatilia, vipi utafanya kuindeleza pale pale ulipoishia? nikimaanisha nikitaka kujua muendelezo wake nifungue thread hiihii?